Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tayari 😁😂😂 risiti hiiFanya kuipest mahali 😃😃😃
Hao ni wajinga...timu imejaa usimba na uyanga ngoja wapigwe warudi..mpk watakapoamua kuwa Azam...😃😃Azam kazini kwao kuna kazi ila wana kikosi kizuri kama wakiacha "ujinga" wao wanaweza kutoboa 😂 Cc Kalpana View attachment 3039450
SC Villa ya Uganda Vs. Commercial Bank ya EthiopiaYanga akishinda anakutana na nani
Na Yanga SC Zanzibar kombe la crdbMtani Vincenzo Jr hyo picha ya Fosali ilikua kwny mechi gani? Hahahahha😃😃😃
Naunga mkono hoja 🤣😁Hao ni wajinga...timu imejaa usimba na uyanga ngoja wapigwe warudi..mpk watakapoamua kuwa Azam...😃😃
Tukutane mwezi wa 8...Naunga mkono hoja 🤣😁
Hapo mchekea...SC Villa ya Uganda Vs. Commercial Bank ya Ethiopia
#YNWA
Nikupige 5 Tena 😂😁Tukutane mwezi wa 8...
Msemaji wao alisema mayele ni wa kawaida sana ngoja tuoneAzam tunamtaka pyramid
Hyo sahau mtani...Nikupige 5 Tena 😂😁
Ili kukomesha tabia hii Azam anatakiwa kuzitowa timu zote hizo mbili na kuingia makundi kibabe.Mbona azam wamemkomalia Sana Yaani akishinda akutane na Pyramid sasa si kashatoka hyo
Wanakutana na mshindi wa sc villa jogoo vs commercial bankYanga akishinda anakutana na nani
Yanga 3-2Mtani Vincenzo Jr hyo picha ya Fosali ilikua kwny mechi gani? Hahahahha😃😃😃
Mshindi kati ya Villa Jogoo vs Commercial BankIli kukomesha tabia hii Azam anatakiwa kuzitowa timu zote hizo mbili na kuingia makundi kibabe.
Wanavyoikamiaga Yanga sasa wahamishie kuiamia kwao kwenye mechi hizi.
Kina Fei toto sasa huo ndio mtihani wao wa kuonesha thamani yao.
Na Yanga akimtowa Vital 0 anakutana na nani au mshindi kati ya mechi ipi?
Yanga inakwenda makundi, tupo serious kwelikweli, hili kombe tunalitaka.Mshindi kati ya Villa Jogoo vs Commercial Bank