CAF Champion Leagues 2024/2025

CAF Champion Leagues 2024/2025

Ili kukomesha tabia hii Azam anatakiwa kuzitowa timu zote hizo mbili na kuingia makundi kibabe.

Wanavyoikamiaga Yanga sasa wahamishie kuikamia kwao kwenye mechi hizi.

Kina Fei toto sasa huo ndio mtihani wao wa kuonesha thamani yao.

Na Yanga akimtowa Vital 0 anakutana na nani au mshindi kati ya mechi ipi?
Na kama wakiweza hapa watakuwa wanaume sana na kama ikiwezekana wafike hata Robo fainali
 
Ili kukomesha tabia hii Azam anatakiwa kuzitowa timu zote hizo mbili na kuingia makundi kibabe.

Wanavyoikamiaga Yanga sasa wahamishie kuikamia kwao kwenye mechi hizi.

Kina Fei toto sasa huo ndio mtihani wao wa kuonesha thamani yao.

Na Yanga akimtowa Vital 0 anakutana na nani au mshindi kati ya mechi ipi?
Likely watakutana na Monastir, wale waliokutana kwenye makundi ya LUZA KAP
Yanga akishinda anakutana na nani
 
mimi ni Simba, ila kwa sasa hakuna timu ya kuifunga Yanga ndani ya Afrika Mashariki na Kati.
Wangepelekwa Kazikazini au West huko, ila kwa Kenya, Uganda na hizo nchi za jirani nani ataifunga Yanga?

Apia.....! We Simba Kweli.?

Hakuna MwanaLunyasi mwenye Ako na Akili kama hizi...! Hizi Akili ni za WanaUtopolo Kabisa Kabisa..!
 
Hawa siyo wabaya lakini tunawapiga nje ndani.

Uwekezaji uliofanyika Yanga ni wa level ya kucheza fainali
Kweli unapokuwa utopolo huwezi tofautisha akili ya muokota makopo majalalani na dr mwenye phd yake anaeyefundisha university. Yaani uwekezaji wa kucheza fainali ya ubingwa wa afrika ndio azizi ki ambae hafiki thamani hata ya ml 500? Na wanaonunua wachezaji wa b5 wasemeje?
 
mimi ni Simba, ila kwa sasa hakuna timu ya kuifunga Yanga ndani ya Afrika Mashariki na Kati.
Wangepelekwa Kazikazini au West huko, ila kwa Kenya, Uganda na hizo nchi za jirani nani ataifunga Yanga?
Ihefu
 
Back
Top Bottom