CAF Champion Leagues 2024/2025

Mbona azam wamemkomalia Sana Yaani akishinda akutane na Pyramid sasa si kashatoka hyo
Ili kukomesha tabia hii Azam anatakiwa kuzitowa timu zote hizo mbili na kuingia makundi kibabe.

Wanavyoikamiaga Yanga sasa wahamishie kuikamia kwao kwenye mechi hizi.

Kina Fei toto sasa huo ndio mtihani wao wa kuonesha thamani yao.

Na Yanga akimtowa Vital 0 anakutana na nani au mshindi kati ya mechi ipi?
 
Mshindi kati ya Villa Jogoo vs Commercial Bank
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…