CAF Champions League: Al Ahly vs Yanga 20/04/16

Ila yanga tumecheza mpira waarabu wenyewe walishakata tamaa ila mnyonye mnyongeni haki yake mpeni yanga kapiga mpira
Jamaa walikuwa wamekata tamaa kabisa hasa baada ya goli kusawazishwa.
 
kwani wachezaji ndio walikuwa wanamgambo?
 
yanga wametoka but wamejitahidi sana kuwakazia wale jamaa 2-1 c kazi ndogo,ngoja turudi bongo makokmbe yetu mawili yanatusubiri
 
Huwa sipotezi muda kuwashabikia wachezaji ambao hula maandazi na chai asubuhi, mchana wali maharagwe na jioni hivyo hivyo. Halafu mibange kwa sana.
Tuanzishe ligi ya majungu tutapata kombe la dunia.
 
Nawalaumu sana yanga, hadi dakika ya 7o walikua wanatoa presure kubwa kwa waarabu na wangeweza kupata goli jingine badala yake timu nzima ikaridhika na kuanza kupoteza muda bila sababu na hii yote kipa wa yanga ndo alizidi kabisa unamuona anataka penalt tu.
 
Tuliupenda sana 'ukimataifa'..!!! Lakini 'ukimataifa' hautupendi...! Mara zote ni majanga...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…