CAF Champions League: Al Ahly vs Yanga 20/04/16

Huwa sipotezi muda kuwashabikia wachezaji ambao hula maandazi na chai asubuhi, mchana wali maharagwe na jioni hivyo hivyo. Halafu mibange kwa sana.
Tuanzishe ligi ya majungu tutapata kombe la dunia.
Umeongea Jambo la msingi sana. Kulikuwa Na tofauti kubwa sana Kati ya wachezaji wa yanga Na AL ahly linapokuja suala la kutumia nguvu. Wengi ya wachezaji wa yanga walikuwa wadhaifu....!!!
 
Ni heri huyu jamaa angeendelea kukaa segerea
hehehehe kila mtu anafata moyo wake unapopenda poleni ndugu zetu wajangwani,tatizo mimi halikuwa kwa yanga tatizo langu lilikuwa kwa msemaji wenu jerry muro
 
Umeongea Jambo la msingi sana. Kulikuwa Na tofauti kubwa sana Kati ya wachezaji wa yanga Na AL ahly linapokuja suala la kutumia nguvu. Wengi ya wachezaji wa yanga walikuwa wadhaifu....!!!
Wenzetu mchezaji anapewa kuku mzima wa kienyeji kwa kifungua kinywa. Lunch mbuzi mzima, jioni hivyo hivyo. Halafu tunataka kushinda.....!!
 
Wenzetu mchezaji anapewa kuku mzima wa kienyeji kwa kifungua kinywa. Lunch mbuzi mzima, jioni hivyo hivyo. Halafu tunataka kushinda.....!!
Hahahaaah eti lunch mbuzi mzima....!!!!
 
Wenzetu mchezaji anapewa kuku mzima wa kienyeji kwa kifungua kinywa. Lunch mbuzi mzima, jioni hivyo hivyo. Halafu tunataka kushinda.....!!
... maandalizi yenyewe eti wanafanyia pemba, tena maporini kule kwa waanga (bora ingekuwa hata chakechake)
 
Inabidi Rais aingilie michezo na atumbue haya majipu kila wakati timu zetu kwa hao wakoloni wa kiarabu ni kutunguliwa tuuu!!

Hili nalo ni jipu kuna shida, hizo pesa za kupeleka haya matimu zee (zitumbuliwe) zikaandae kizazi kwa ajili ya miaka ua 2038!!.
 
... maandalizi yenyewe eti wanafanyia pemba, tena maporini kule kwa waanga (bora ingekuwa hata chakechake)
Wamatopeni tunawafanyia mpango tuwapandishe kwenye Sayari ya Nibiru angalau mjisikie na nyie mmepanda ndege mwaka huu.
 
Kama kawa kwa wazee wa "Kamati Ya Maadili," a.k.a. Wazee wa safari za Pemba. Huwaga najiuliza, ni lini mashabiki wa hii timu ya kamati ya maadili watajifunza? Wao kila mwaka visingizio ni vile vile, tumefungwa lakini tuliwakomalia jamaa. Wamesahau kwamba timu ucheza kwa kupambana na si kwa kukomalia watu. #WatazidiKusindikiza kila mwaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…