Chatumkali
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 2,037
- 458
Yanga ni Timu bora bado ndio maana bado IPO kwenye mashindano.Nyie mikia endeleeni kupiga makelele tu kama mijibwakoko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnapeleka makalio kwa waarabu watawafanya hamna...Yanga ni Timu bora bado ndio maana bado IPO kwenye mashindano.Nyie mikia endeleeni kupiga makelele tu kama mijibwakoko
Mmesahau zile 9 bado mnawataka wa Moroco..Watupangie Esperance tuoneshe ubora wetu.
Kama nyie mlivyokabidhi makalio kwa TotoMnapeleka makalio kwa waarabu watawafanya hamna...
nashangaa hamjakoma...Kama nyie mlivyokabidhi makalio kwa Toto
Mmesahau zile 9 bado mnawataka wa Moroco..
hadi Yondani anaingia ilikua ni kwa mantiki ya penati, timu nzima ilibweteka kwamba wanakwenda kwenye matuta na hata ukabaji ukawa kwa macho tu, Yondani alikua anaangalia move kwa macho kama ilivyokua kwa Msuva Juma Abdul na hata Bossou na wakati anastua kufika eneo la tukio ilikua too late laiti angalicheza na move angaliweza kufika mapemaJamani....mimi kama shabiki wa kutupwa wa Yanga niliyetukuka nikikaa kimya kuhusu hili nitakuwa sijatenda haki kabisa.
Mpira jana nimeuangalia,na hakika vijana wetu walifanya poa sana.
Tatizo walianza kuzubaa kuanzia dakika ya 80 na nilimuambia mwenzangu niliyekuwa naangalia nae kwamba hapa tunafungwa.
Binafsi naona Yondani ndiye aliyetugharimu.
Utamlindaje mtu halafu ukae nyuma yake kwa angle ile kutoka kwa mwenye mpira?
Angekuwa sharp akawahi kukaa mbele ya yule jamaa aliyeunganisha krosi ile kwa kichwa huenda leo hii yangekuwa mengine.
Lakini,hakuna jinsi,yaliyotokea yametokea.
Niliumia sana kwa lile goli,niliwaza harakaharaka ni kitu gani ninachokipenda kinachoweza kunitolea stress nikatafuta Korean series moja kali sana (Birth of a beauty) imenifariji na nimeamka poa kabisa.
Pongezi za kipekee zimfikie kipa wetu Munish (Dida) kwa kazi nzito na iliyotukuka aliyoifanya jana.
Wanayanga wenzangu,tumeonesha kwamba mpira tunauweza,kama sio vijana kuchanganyikiwa kwa mashambulizi yale ya haraka.....ila ukweli wako vizuri sana.
Na yeyote atakayethubutu kutukejeli atakuwa mnafiki tu,moyoni atakiri Yanga ni habari nyingine.
Period
Bora kufungwa na waarabu wa egypty sio km hawa wamatopeni walifungwa na waarabu wa mwanza
Kuna tofauti bhanaWabongo bwana, sasa ubora uko wapi? Kufungwa si ni kufungwa tu?
Tofauti ya kufungwa na mwarabu wa egypty na mwarabu wa mwanza ni hii hapaWabongo bwana, sasa ubora uko wapi? Kufungwa si ni kufungwa tu?
mkude kasema no ndege, no kusaini mkataba. matope yamemchosha
Tofauti ya kufungwa na mwarabu wa egypty na mwarabu wa mwanza ni hii hapa![]()
mtapigwa tu...Jamani eeeh?Jana ni kura tu hazikutosha lakini game ilikuwa yetu kabisa.
Sasa kazi ndio imeanza upya,hao wa Angola wajuta maana hasira zote tutazimalizia kwao.
zamalek na al ahly ni madaraja tofauti kabisa ni sawa na yanga au simba na azam. Al ahly ndio misri , Ina wapenzi wengi kuliko timu yoyote , viongozi WA kisiasa na kijeshi na matajiri wote misri ni al ahly. Timu ya taifa wachezaji karibu wote ni al ahly. Wachezaji wakubwa WA misri wote WA zamani ni al ahlyHakuna cha Afadhali hapo.Kama kweli nyie ni wakimataifa,vunjeni rekodi za simba.Mwenzenu kaoga 3,leo mnabugia 4.Yanga kwa marefa wabovu wa tz.
Tuko pamoja sana hao WaAngola kazi wanayo aiseeJamani eeeh?Jana ni kura tu hazikutosha lakini game ilikuwa yetu kabisa.
Sasa kazi ndio imeanza upya,hao wa Angola wajuta maana hasira zote tutazimalizia kwao.
Mkuu kwa timu hizo zinazoshiriki ndondo cup wa matopeni haiwezi kufurukutaCaf club championship
1)Zesco(Zambia)
2)Zamalek(Egypt)
3)ES Setif( Algeria)
4)Waydad AC( Morocco)
5)Asec Mimosas(Ivory cost)
6)Al Ahly(Egypt)
7)Enyimba(Nigeria)
8)Vita Club(DRC)
Caf confederation cup
1)Esperence(Tunisia)
2)Merreick( Sudan)
3)FUS Rabat( Morocco)
4)TP Mazembe( DRC)
5)Sagrada Esperanca(Angola)
6)Stade Malien(Mali)
7)Mo Bejaia(Algeria)
8)Al Ahli Tripoli(Libya)
9)Stade Gabesien(Tunisia)
10)Medeama(Ghana)
11) Yanga(Tanzania)
12)Etoile du sahel (Tunisia)
13)Mounana(Gabon)
14)Makasa(Egypty)
15)Mamelodi sundown(South Africa)
16)Kawkab Marrakech(Morocco)
Ndondo cup:
1) Simba SC ( Msimbazi)
2) Nondo FC ( Mwananyamala)
3) Vigwaza FC ( Yombo)
4) Kipunguni SC ( Vingunguti)
5) Kiburugwa Combine ( Mbagala)
6) Kinyerezi FC ( Kinyerezi)
7) friends Ranger ( Manzese)
8) Wailesi FC ( Temeke)
9) Toto Africa (Mwanza)
10) Coast Union ( Tanga)
NB : Draw ya confederation cup 16 bora itafanyika kesho.
Waarabu hawaamini kama wameshinda...Dah!