Niyonzima angekuwa bora angeshachukuliwa nje ya nchi kama okwi, samatta. Angeenda hata bondeni maana exposure ya klabu bingwa kacheza cheza na yanga. Ni mzuri kwa viwango vya VPL.bado bila kwa bila
Ila waarabu wanaona saana kwenye pasi za one touch,wanapiga pasi balaa,ila yanga pasi tatu basi wamepoteza
Inabidi watulie Saana,Niyonzima yupo vizuri sana jamaa
Niyonzima angekuwa bora angeshachukuliwa nje ya nchi kama okwi, samatta. Angeenda hata bondeni maana exposure ya klabu bingwa kacheza cheza na yanga. Ni mzuri kwa viwango vya VPL.bado bila kwa bila
Ila waarabu wanaona saana kwenye pasi za one touch,wanapiga pasi balaa,ila yanga pasi tatu basi wamepoteza
Inabidi watulie Saana,Niyonzima yupo vizuri sana jamaa
Simba ni mume wako aliyewahi kukupa mimba ya mapacha wa tano....mara hii umeshamsahau...??Na simba nae kama Nani? Au mwanamke anaye gawa kwa kila mwanaume?
Asante kwa link, ila jamaa wanachezewa nusu uwanja
Wakimataifa hawana hata uwanja.Wakimataifa wamefanikiwa kumaliza kipindi cha kwanza 0-0....
Ya kale hayanuki. Mtaishia kushangilia waarabu tuSimba ni mume wako aliyewahi kukupa mimba ya mapacha wa tano....mara hii umeshamsahau...??
Hata wewe mrembo kama ukinifurahisha nakushangilia tu....Ya kale hayanuki. Mtaishia kushangilia waarabu tu