Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
Simba Sc walifanya ujinga mkubwa sana.Kila nikiiona iyo Galax wa Botswana nakosa hata la kusema maana ni weupeeee peeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba Sc walifanya ujinga mkubwa sana.Kila nikiiona iyo Galax wa Botswana nakosa hata la kusema maana ni weupeeee peeee
Caf ni wahuni tuHjvi caf kwanini wasingeweka sheria, timu za taifa moja zisiwe kundi moja.. Naona haoo al hilal na al merreikh wapo kundi moja.
Kosa la kutowafunga wale waduwanzi, inaweza ikaja kujirudia kwa kutikuwafunga wale us pale niger, ile game simba alipaswa kushinda hata kwa mtutuSimba Sc walifanya ujinga mkubwa sana.
Hjvi caf kwanini wasingeweka sheria, timu za taifa moja zisiwe kundi moja.. Naona haoo al hilal na al merreikh wapo kundi moja.
Utopolo wanaitia aibu bendera yetu.Kamwe hilo halitatokea, utopolo hana ubavu wa kufika group stage ya mashindano yoyote ya caf.
Akibahatika kufika, haya hutokea
View attachment 2132828View attachment 2132829
mamelod nae yuko vzr mno.mpinzani halisi wa al ahlyKama ulitazama game utaelewa jamaa bado wapo bora kwa kiasi gani.
Kupoteza game imekuwa matokeo tu. Lkn kiwango kipo juu mno. Mamelod imekuwa ni bahati tu kwao.
Simba nao kutolewa na wale jamaa ulikuwa ni upuuzi tu walioufanyaWababe wa Simba hao Galaxy naona wanateseka sana kwenye kundi lao.
Sio upuuzi, ni mpira tu walizidiwa.Simba nao kutolewa na wale jamaa ulikuwa ni upuuzi tu walioufanya
Huyu david uromi naona anashindwa kufungaHjvi caf kwanini wasingeweka sheria, timu za taifa moja zisiwe kundi moja.. Naona haoo al hilal na al merreikh wapo kundi moja.
mamelod nae yuko vzr mno.mpinzani halisi wa al ahly
Hata timu za Angola pia zime wekwa kundi moja hii kitu ni mbaya kwenye kupanga matokeoHjvi caf kwanini wasingeweka sheria, timu za taifa moja zisiwe kundi moja.. Naona haoo al hilal na al merreikh wapo kundi moja.
Ni kweli, ila ni mbaya kama hizo timu zitatanguliza uzalendo wa taifa ila kama zitakuwa na hali ya uhasimu kama Simba na Yanga basi ni ngumu sana timu moja imuachie mwenzie ili ifuzu. Na upande wa Al Merreikh na Al Hilal wameshamalizana na mbaya zaidi wamegawana point tatu tatu bora point zote sita angechukua mmoja wapoHata timu za Angola pia zime wekwa kundi moja hii kitu ni mbaya kwenye kupanga matokeo
Ni kweli, ila ni mbaya kama hizo timu zitatanguliza uzalendo wa taifa ila kama zitakuwa na hali ya uhasimu kama Simba na Yanga basi ni ngumu sana timu moja imuachie mwenzie ili ifuzu. Na upande wa Al Merreikh na Al Hilal wameshamalizana na mbaya zaidi wamegawana point tatu tatu bora point zote sita angechukua mmoja wapo