CAF champions league quarter final, today!

Abu Ubaidah Commando

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2016
Posts
7,591
Reaction score
6,946
Mamelody Sundowns <>Al ahly 16;00 (0-2)

Tp Mazembe <>Raja Casablanca 16;00 (0-2)

Etoile du Sahel <> WydadCasablanca 22;00 (0-2)



Utabili wanguπŸ‘‡πŸΏ
Al Ahly βœ”
Raja βœ”
Wydad βœ”

Tp Mazembe βœ–
Mamelody βœ–
Etoile du sahel βœ–

Kila la heri nilizozipa βœ”
 
Dakika ya 25 Mamelodi Sundowns keshapigwa moja na Ahly, Aggregate ni tatu bila, nadhani hii shughuli imeshaisha kwa wazulu japokua mwaka jana walimpiga goli tano huyu mpinzani wao.

Kule Lubumbashi bado ni 0-0

Utabiri wa mtoa uzi unaweza ukatimia kama ulivyo.
 
Al Ahly won
Raja won


Gemu ya etoile na Wydad,,,,Wydad anapita πŸ™‚
 
Mazembe niliona wamepoteza muelekeo nilivyoona wapo kanisani wanasali eti washinde mechi habahaha upuuzi huo.
 
Mazembe niliona wamepoteza muelekeo nilivyoona wapo kanisani wanasali eti washinde mechi habahaha upuuzi huo.

Jamaa wamekosa penati muhimu sana ambayo ingewarudisha mchezo kwa kufanya mechi kuwa (2-2) on aggregate. Ila yote heri wameshinda moja bila lakini wametolewa.
 
Jamaa wamekosa penati muhimu sana ambayo ingewarudisha mchezo kwa kufanya mechi kuwa (2-2) on aggregate. Ila yote heri wameshinda moja bila lakini wametolewa.
Nani alipiga hiyo penalty waliyokosa?
 
Jamaa wamekosa penati muhimu sana ambayo ingewarudisha mchezo kwa kufanya mechi kuwa (2-2) on aggregate. Ila yote heri wameshinda moja bila lakini wametolewa.

Sio penalty tu.. kuna chance za wazi mazembe amekosa.. jackson muleka leo amewaangusha mazembe mara 3
 
Kipute kimemalizika pia kati ya Wydad Casablanca na Etoile du Sahel. Etoile wameshinda moja bila lakini wametolewa kwa matokeo ya jumla (aggregate).

Nusu fainali ni kati ya Wydad dhidi ya Al Ahly na Zamalek dhidi ya Raja Casablanca.
Natabiri fainali ni kati ya Zamalek na Ahly na bingwa nampa Ahly.

Nilichojifunza ni kwamba hii ni ''ligi kuu ya waarabu wa Afrika''. Timu zetu akina sisi bado sana kufikia level za kutamba katika ligi hiyo
 

Timu za waafrica weusi zinazoshindana na waarabu ni mbili tu.. mamelodi na mazembe.. sababu hizo timu zina hela pia.. ila kina sisi wengine wote tunasindikiza tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…