CAF champions league quarter final, today!


Jamaa wako vizuri sana, kama ulaya vile
 
muda umefika kwa waafrika kuanzisha ligi isiyowahusisha waarabu, hata waarabu wana ligi yao wenyewe waarabu tupu, na ligi yao ina hela sana ndio inayowapa utajiri hizi timu za africa za waarabu
 
muda umefika kwa waafrika kuanzisha ligi isiyowahusisha waarabu, hata waarabu wana ligi yao wenyewe waarabu tupu, na ligi yao ina hela sana ndio inayowapa utajiri hizi timu za africa za waarabu
Ila jana kwa TP Mazembe ilikua ni wao tu..refa alikua fair Sana..na penati wakapewa..ila wakakosa..sasa sijui niseme bahati haikua yao..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…