Supu ya kokoto
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,194
- 7,602
Shabiki mandazi utakuwa...!Mimi ni shabiki nguli wa Yanga , nawatakia Simba ushindi mnono wa magoli 4 kwa bila.
Daima mbele nyuma mwiko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shabiki mandazi utakuwa...!Mimi ni shabiki nguli wa Yanga , nawatakia Simba ushindi mnono wa magoli 4 kwa bila.
Daima mbele nyuma mwiko.
lazima watapitisha idadi mbumbu fcKwa taarifa za awali na zilizonifikia ni kua mpaka sasa club ya Simba imeruhusiwa kuingiza mashabiki 10000 kwenye mchezo wa trh 3/4/2021 dhidi ya As Vita Club .
Taarifa njema kwa simba ilocheza bila mashabiki kwenye mchezo wa mwisho dhid ya Al merreikh ni kua mchezaji fundi wa As Vita Shaaban Djuma hatakua sehemu ya huo mchezo.