CAF Champions League: Simba kuingiza mashabiki 10000

CAF Champions League: Simba kuingiza mashabiki 10000

Kwa taarifa za awali na zilizonifikia ni kua mpaka sasa club ya Simba imeruhusiwa kuingiza mashabiki 10000 kwenye mchezo wa trh 3/4/2021 dhidi ya As Vita Club .

Taarifa njema kwa simba ilocheza bila mashabiki kwenye mchezo wa mwisho dhid ya Al merreikh ni kua mchezaji fundi wa As Vita Shaaban Djuma hatakua sehemu ya huo mchezo.
lazima watapitisha idadi mbumbu fc
 
Back
Top Bottom