Caf inajua kwamba Yanga ndio timu yenye mashabiki wengi Afrika mashariki, hiki ni kigezo c kucheza super league, Sherehe za ubingwa zilitikisa africa

Caf inajua kwamba Yanga ndio timu yenye mashabiki wengi Afrika mashariki, hiki ni kigezo c kucheza super league, Sherehe za ubingwa zilitikisa africa

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Kwa zile sherehe zilizofanyika kiukweli ziliwastusha mpaka Caf, Tofauti na manyonyo waliozoea kutembeza kombe kwenye fusa huku wakiwa na mashabiki wachache, Yanga ilionyesha ni namna gani kombe inabidi lisherekewe huku kukiwa na mashabiki wengi sana ....

Hali hii machoni mwa caf tayari ni kigezo tosha kwa Mabingwa kushiriki super league katika timu 8 za ukanda wetu.

Tofauti ya mashabiki wa simba ni kwamba simba inanunua followers wa mitandaoni, hata account ya instagram walinunua account ya bikira wa kisukuma iliyokuwa na followers takribani laki 9 tayari
 
Hizi timu mbili za kariakoo ni balaa aisee. Shabiki zake kams vile wameondelewa ufahamu
 
kwenye rank ya caf Yanga ipo nafasi ya ngapi?,tuanzie hapo kwanza.
 
Kwa zile sherehe zilizofanyika kiukweli ziliwastusha mpaka Caf, Tofauti na manyonyo waliozoea kutembeza kombe kwenye fusa huku wakiwa na mashabiki wachache, Yanga ilionyesha ni namna gani kombe inabidi lisherekewe huku kukiwa na mashabiki wengi sana ....

Hali hii machoni mwa caf tayari ni kigezo tosha kwa Mabingwa kushiriki super league katika timu 8 za ukanda wetu.

Tofauti ya mashabiki wa simba ni kwamba simba inanunua followers wa mitandaoni, hata account ya instagram walinunua account ya bikira wa kisukuma iliyokuwa na followers takribani laki 9 tayari
Acha uongo, eti imenunua followers kwa bikira wa kisukuma loh. Na twiter je imenunua folowers toka wapi ???
 
Kabisa mkuu.....
Huoni hata ile rangi ya ynga ( green ) Hadi CAF wanaitumia

Sio hawa vibwengo wenye rangi nyekundu ( makolo)
 
Yanga kuingizwa kwenye haya mashindano ya wakubwa ni shukrani za CAF kwa TZ baada ya serikali kufadhili mkutano huo kutokana na ukata ilionao CAF wala siyo vinginevyo.


Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Atakaye muona Domolepe au Mgonjwa wa kifafa aje kwangu nna zawadi yake.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
FB_IMG_16601569472457383.jpg
 
Back
Top Bottom