CAF kama mmeweza kutumia Picha ya Mandela kwa upande wa Mamelodi kwanini Msingeweka picha ya Nyerere upande wa Yanga?

CAF kama mmeweza kutumia Picha ya Mandela kwa upande wa Mamelodi kwanini Msingeweka picha ya Nyerere upande wa Yanga?

THE FIRST BORN

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2019
Posts
2,224
Reaction score
4,472
Hii Picha kwanini wasingemweka na nyerere?

Najua kuna watu mtaniona kama nimewehuka ila mjue hizi issue ndio hua zinafanya wamchukulie poa Nyerere kabisa.

Nyerere kafanya makubwa Mengi kwa Afrika ila hua hatambuliwi hadi hapa unaona kabisa..wameona huyo Askari ndie mkubwa Nchini kuliko Nyerere.

Uhuru wa Nchi za kusini Nyerere kashiriki hadi tukaimba na Nyimbo zipo hadi kesho zinaimbwa na watoto wetu kule shule ya Msingi wakat wa mchakamchaka.

Mtambueni na Nyerere, Mandela hakua na kubwa zaidi ya kusamehe watu weupe.
Nakuwaacha watu weusi wenzake kwenye umasikini hadi leo bila msaada.
20240330_121659.jpg
 
Sio hoja mkuu...Unataka kuniambia South hakuna Masanamu Mengine?

Sanamu ya mandela ndio sanamu maarufu kuliko zote south africa.

Wageni wengi na wenyeji huwa wanapenda kupiga picha na hiyo sanamu ya mandela
 
Hivi hiyo ni picha au sanamuuuu..
Caf wanafuata nini huku damhed

Usinitag, Nachangamsha uzi tuuuu
 
Mwalimu alipendwa na Dunia nzima ila wazungu hawakumpenda sana japo walikuwa wanamkubali mno.

Mwalimu aliwafukuza wazungu.
Nyerere aliwakaribisha wazungu.
Ila waafrica wanamtukuza Mandela kwa kudanganywa na wazungu.

Nadhani nimekujibu.
 
Hii Picha kwanini wasingemweka na nyerere?

Najua kuna watu mtaniona kama nimewehuka ila mjue hizi issue ndio hua zinafanya wamchukulie poa Nyerere kabisa.

Nyerere kafanya makubwa Mengi kwa Afrika ila hua hatambuliwi hadi hapa unaona kabisa..wameona huyo Askari ndie mkubwa Nchini kuliko Nyerere.

Uhuru wa Nchi za kusini Nyerere kashiriki hadi tukaimba na Nyimbo zipo hadi kesho zinaimbwa na watoto wetu kule shule ya Msingi wakat wa mchakamchaka.

Mtambueni na Nyerere, Mandela hakua na kubwa zaidi ya kusamehe watu weupe.
Nakuwaacha watu weusi wenzake kwenye umasikini hadi leo bila msaada.
View attachment 2948978
Walichemka au maelezo ya boss rais wa CAF.
 
Hii Picha kwanini wasingemweka na nyerere?

Najua kuna watu mtaniona kama nimewehuka ila mjue hizi issue ndio hua zinafanya wamchukulie poa Nyerere kabisa.

Nyerere kafanya makubwa Mengi kwa Afrika ila hua hatambuliwi hadi hapa unaona kabisa..wameona huyo Askari ndie mkubwa Nchini kuliko Nyerere.

Uhuru wa Nchi za kusini Nyerere kashiriki hadi tukaimba na Nyimbo zipo hadi kesho zinaimbwa na watoto wetu kule shule ya Msingi wakat wa mchakamchaka.

Mtambueni na Nyerere, Mandela hakua na kubwa zaidi ya kusamehe watu weupe.
Nakuwaacha watu weusi wenzake kwenye umasikini hadi leo bila msaada.
View attachment 2948978
Wako Sahihi,Baba wa Taifa hakuwa anatembea na Mwiko Nyuma kama Yanga,hivyo kuweka Picha yake ingekuwa ni kutotemdea haki legacy ya Nyerere haswaa kwenye harakati za ukombozi wa Nchi za Africa
 
nadhani hawakutaka kumdhalilisha baba wa taifa maana baada ya game ni fedheha kwa taifa

WanaSimba pesa ya kiingilio bado inawauma sana mmejaa kinyongo sana, sasa kilichobaki ni dua la kuku tu! Mnachotaka Yanga afungwe iwe level timu zote ziwe zimetolewa japo ukweli Yanga bado wana nafasi kubwa kufuzu.

Fedheha kubwa kwa taifa tayari imetufika baada ya Simba pekee kukandwa robo fainali first leg kwao kwa Mkapa hatoki mtu!! Huku uwanja ukiwa umejaa mambumbumbu pomoni!!

Tukubali kwanza Mamelodi wakubwa na wana chance kubwa ila lolote linaweza kutokea iwapo Yanga watakaba bila kupoa kwa dkk tisini. Yanga wachezaji wana vipaji na morali kuliko simba

To Ally Kamwe

Mechi iliyopita niliona Ki Aziz alipoteza morali kipindi cha pili baada ya kushindwa kufurukuta na alizembea Sana kukaba. Kuna mda alisusa mechi ila kocha alimpotezea alipaswa kutolewa aingie Farid. Aambiwe aoneshe ubora wake kupasua ngome bila woga na kupiga mashuti mengi

Pia Max Nzengeli alicheza kama yuko peke yake uwanjani hakushirikiana na wenzake hasa Ki Aziz. Kuna mda Max alijisahau aliona kama anacheza na KMC au Mtibwa akawa anataka kupiga chenga kijiji aambiwe huo ni ushamba awaheshimu Mamelodi

Lomalisa alizidiwa akili na uharaka wa kuwahi mipira na matokeo yake alipaniki na kucheza rafu za hatari bila kujali, anapaswa aambiwe aongeze spidi kuwahi Matukio na akishakuwa na yellow card aache rafu za kijinga maana zitakuja kuigharimu timu.

Mkude Nungunungu hana baya alicheza kwa kiwango cha juu
 
Mnadhani ni Tff hao kwamba muweke picha ya Mama Kizimkazi
 
Back
Top Bottom