CAF kuitoza Yanga 82 milioni ni ushahidi kuwa CAF ni shabiki wa Simba

CAF kuitoza Yanga 82 milioni ni ushahidi kuwa CAF ni shabiki wa Simba

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Yanga imeamuliwa na caf kulipa TZS 82,0000 kwa kosa la kuvunjwa vioo vya gari lililotumiwa na RIvers United ya Nigeria hapa tanzania, rivers kuibiwa fedha kwenye basi, mashabiki wa Yanga kumulika vitochi (laser) na kuwasha moshi uwanjani. Hukumu kama hii ina harufu ya ushabiki wa simba na Yanga huko caf.

Tuliona vitochi uwanjani kwenye mechi zote zilizochezwa usiku kwenye mechi zote, waarabu wanawasha moshi unaotoa rangi za timu zao, Simba waliwamulika wapinzani wao siko kwa vitochi tu bali yuko jamaa aliwamulika na lijitochi la kuwindia lakini hakuna faini hizo. Rivers united wanasafirije na mamilioni ya fedha kwenye basi kubwa kama lile na je, nani alithibitisha wizi huo wakati wizi ni kosa la jinai linalohitaji uchunguzi na hukumu za kimahakama? Ni nani kwamaana mkemia yupi alidhibitisha kuwa gari la rivers lilipuliziwa sumu?

Hukumu ya kipuuzi kama hiyo imetolewa sasa ili kuitoa Yanga mchezoni wakati huu wanajiandaa na mechi yake na marumo, Hii haina tofauti na ile ya Fei toto kuleta fujo siku moja kabla ya mechi na Azam. Huu ni mtego wa kipuuzi ambao una lengo ya kupunguza vibe na maandalizi ya mechi hiyo ya nusu finali.

Wanashindwa kuizuia yanga uwanjani badala yake wanajaribu nje ya uwanja. Hakuna kesi hapo ni porojo tu za mtaani zinazotokana na shinikizo la utani wa jadi uliojipenyeza huko caf. CAF inajishushia hadhi kwa kuwa na watu kama hawa kwenye management ya kutoa maamuzi.
 
Yanga imeamuliwa na caf kulipa TZS 82,0000 kwa kosa la kuvunjwa vioo vya gari lililotumiwa na RIvers United ya Nigeria hapa tanzania, rivers kuibiwa fedha kwenye basi, mashabiki wa Yanga kumulika vitochi (laser) na kuwasha moshi nyeza huko caf. CAF inajishushia hadhi kwa kuwa na watu kama hawa kwenye management ya kutoa maamuzi.
HUNA AKILI.

UPUUZWE
 
Yanga imeamuliwa na caf kulipa TZS 82,0000 kwa kosa la kuvunjwa vioo vya gari lililotumiwa na RIvers United ya Nigeria hapa tanzania, rivers kuibiwa fedha kwenye basi, mashabiki wa Yanga kumulika vitochi (laser) na kuwasha moshi a huko caf. CAF inajishushia hadhi kwa kuwa na watu kama hawa kwenye management ya kutoa maamuzi.
🤔
 
Yanga imeamuliwa na caf kulipa TZS 82,0000 kwa kosa la kuvunjwa vioo vya gari lililotumiwa na RIvers United ya Nigeria hapa tanzania, rivers kuibiwa fedha kwenye basi, mashabiki wa Yanga kumulika vitochi (laser) na kuwasha moshi
76BA181A-B0C9-4937-AACF-C1EAA3527A25.jpeg
 
Leo nimesikiliza Ali kamwe nikajiskia vibaya Sana,nimeamini Kama vijana bado tuna safali ndefu Sana kijana tunae amini akili inachemka anaongea upumbavu uliotukuka.
 
Leo nimesikiliza Ali kamwe nikajiskia vibaya Sana,nimeamini Kama vijana bado tuna safali ndefu Sana kijana tunae amini akili inachemka anaongea upumbavu uliotukuka.
kwahiyo ni heri ya Ahmed Ally?
 
Kule kuna babraaa gozalenz ni Simba Yule ndio anae isagia kunguni yanga
Mbwa ukishamjua jina lake hana ujanja tena. Ukweli tunajua ni nani aliipa simba Nyasa big bullets. de agosto, vipers na horoya. Ni mtu ambae anajua kuwa vipers imebomoka baada ya kocha wao na wachazaji wao muhimu kuondoka, mbaya zaidi kocha wa vipers kaenda simba, hivyo anawajua sana vipers. Tunajua huyu mtu ndiye anaeiandika sana simba kwenye mitandao ya caf. Hebu ona hii hapa. Mbona simba haikuchukuliwa hatua kwenye kitendo hiki.

 
Tuliona vitochi uwanjani kwenye mechi zote zilizochezwa usiku kwenye mechi zote, waarabu wanawasha moshi unaotoa rangi za timu zao, Simba waliwamulika wapinzani wao siko kwa vitochi tu bali yuko jamaa aliwamulika na lijitochi la kuwindia lakini hakuna faini hizo.
Kumbuka hizo timu unazozitolea mfano ni za Klabu bingwa, sio shirikisho. Uliona wapi moshi na vitochi vimewashwa shirikisho?
 
Usichanganye CAF na CUF
Yanga imeamuliwa na caf kulipa TZS 82,0000 kwa kosa la kuvunjwa vioo vya gari lililotumiwa na RIvers United ya Nigeria hapa tanzania, rivers kuibiwa fedha kwenye basi, mashabiki wa Yanga kumulika vitochi (laser) na kuwasha moshi uwanjani. Hukumu kama hii ina harufu ya ushabiki wa simba na Yanga huko caf.

Tuliona vitochi uwanjani kwenye mechi zote zilizochezwa usiku kwenye mechi zote, waarabu wanawasha moshi unaotoa rangi za timu zao, Simba waliwamulika wapinzani wao siko kwa vitochi tu bali yuko jamaa aliwamulika na lijitochi la kuwindia lakini hakuna faini hizo. Rivers united wanasafirije na mamilioni ya fedha kwenye basi kubwa kama lile na je, nani alithibitisha wizi huo wakati wizi ni kosa la jinai linalohitaji uchunguzi na hukumu za kimahakama? Ni nani kwamaana mkemia yupi alidhibitisha kuwa gari la rivers lilipuliziwa sumu?

Hukumu ya kipuuzi kama hiyo imetolewa sasa ili kuitoa Yanga mchezoni wakati huu wanajiandaa na mechi yake na marumo, Hii haina tofauti na ile ya Fei toto kuleta fujo siku moja kabla ya mechi na Azam. Huu ni mtego wa kipuuzi ambao una lengo ya kupunguza vibe na maandalizi ya mechi hiyo ya nusu finali.

Wanashindwa kuizuia yanga uwanjani badala yake wanajaribu nje ya uwanja. Hakuna kesi hapo ni porojo tu za mtaani zinazotokana na shinikizo la utani wa jadi uliojipenyeza huko caf. CAF inajishushia hadhi kwa kuwa na watu kama hawa kwenye management ya kutoa maamuzi.
 
Kumbuka hizo timu unazozitolea mfano ni za Klabu bingwa, sio shirikisho. Uliona wapi moshi na vitochi vimewashwa shirikisho?
wacha ujinga, caf haiwezi kuwa na double standard kwenye timu na mashindano yake.
 
Ndo tukome kuiga vitu vya kipuuz,mbogo anajiona mjanja kuingia na vitochi uwanjani na kuwasha mimoshi
 
Kumbuka hizo timu unazozitolea mfano ni za Klabu bingwa, sio shirikisho. Uliona wapi moshi na vitochi vimewashwa shirikisho?
swine!!!
caf haikuwaona hawa? Simba bhana tengenezeni timu yenu mambo ya chuplichupli hayatawafikisha popote.
 
Mbona USM Alger walizofanya fujo za kufa mtu lakini TFF Yao haiwachongei?
 
Back
Top Bottom