cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Wa Africa km Sokwe. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi huwa nawaona waarabu kama ngurue, wazungu kama fisi, na Asians kama vingedere fulani hivi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wa Africa km Sokwe. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi huwa nawaona waarabu kama ngurue, wazungu kama fisi, na Asians kama vingedere fulani hivi.
Mtumieni Jecha na wenzake nao wasaidie ushindi kama mnavyowatumia kila wakati.Team kutoka Kaskazini mwa Africa
Zimekuwa zikifika uhuni mwingi ili kupata matokeo changa kwenye michezo yao
Uhuni huo sio uungwana kwenye football
Lakini utashangaa jinsi CAF wanavyokaa kimya bila kutoa adhabu yoyote ili kukomesha huu uhuni
Tujikumbushe namba fainali kati ya Young Africans na USM Alger ilivyoharibiwa a mbinu chafu na za kihuni
Wanatumia ball boys kupoteza muda
Kutumia tochi kumulika wachezaji wa team pinzani,
Wanatumia watu wa huduma ya kwanza na matabibu wa team kupoteza muda
Kujiangusha ovyo uwanjani
Kuhonga waamuzi na matendo mengine mabaya
Tujikumbushe pia uhuni kati ya mechi ya Al ahly vs al hilal
Simba vs wydad
Simba vs Raja
CAF wawajibishe warabu na uhuni na dhuluma zao katika football
Ama kweli warabu ni watu wenye tamaduni za ovyo ni watu ovyo ovyo tu
Mungu awasaidie ustaarabu na utu uwafikie waarabu
Kwan hizo timu zingine zinashibdwa nini kuiga hayo yote ukiacha hilo la kugonga waamuzi? Naona Yako ndani ya uwezo kabisaTeam kutoka Kaskazini mwa Africa
Zimekuwa zikifika uhuni mwingi ili kupata matokeo changa kwenye michezo yao
Uhuni huo sio uungwana kwenye football
Lakini utashangaa jinsi CAF wanavyokaa kimya bila kutoa adhabu yoyote ili kukomesha huu uhuni
Tujikumbushe namba fainali kati ya Young Africans na USM Alger ilivyoharibiwa a mbinu chafu na za kihuni
Wanatumia ball boys kupoteza muda
Kutumia tochi kumulika wachezaji wa team pinzani,
Wanatumia watu wa huduma ya kwanza na matabibu wa team kupoteza muda
Kujiangusha ovyo uwanjani
Kuhonga waamuzi na matendo mengine mabaya
Tujikumbushe pia uhuni kati ya mechi ya Al ahly vs al hilal
Simba vs wydad
Simba vs Raja
CAF wawajibishe warabu na uhuni na dhuluma zao katika football
Ama kweli warabu ni watu wenye tamaduni za ovyo ni watu ovyo ovyo tu
Mungu awasaidie ustaarabu na utu uwafikie waarabu
Waafrika kama swala.Wa Africa km Sokwe. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimekuelewa sana mkuuWaafrika kama swala.
Ngurue ni mshenzi/katili/akili ndogo.
Fisi ni mnyonyaji, mwenye kupenda kutumia jasho la wengine, na haonei aibu uchafu wake, wala kufanya hadharani. Anaweza kumlaumu mama swala kumzuia asimle mtoto wake.
Ngedere ni wenye hila, ujanja mwingi, weziwezi na ving'ang'anizi. Warubunifu.
Swala, ni mpole, mzembe, mvivu kufikiri na matokeo yake amekuwa mnyonge wa kila mnyama. Hachelewi kusahau, anapenda sana kuishi kwa imani badala ya kanuni, inamgharimu sana.
Nilijua tu wewe ni utopolo.Team kutoka Kaskazini mwa Africa
Zimekuwa zikifika uhuni mwingi ili kupata matokeo changa kwenye michezo yao
Uhuni huo sio uungwana kwenye football
Lakini utashangaa jinsi CAF wanavyokaa kimya bila kutoa adhabu yoyote ili kukomesha huu uhuni
Tujikumbushe namba fainali kati ya Young Africans na USM Alger ilivyoharibiwa a mbinu chafu na za kihuni
Wanatumia ball boys kupoteza muda
Kutumia tochi kumulika wachezaji wa team pinzani,
Wanatumia watu wa huduma ya kwanza na matabibu wa team kupoteza muda
Kujiangusha ovyo uwanjani
Kuhonga waamuzi na matendo mengine mabaya
Tujikumbushe pia uhuni kati ya mechi ya Al ahly vs al hilal
Simba vs wydad
Simba vs Raja
CAF wawajibishe warabu na uhuni na dhuluma zao katika football
Ama kweli warabu ni watu wenye tamaduni za ovyo ni watu ovyo ovyo tu
Mungu awasaidie ustaarabu na utu uwafikie waarabu
Kuna mechi Yanga waliwasha mafataki wakapewa onyo na CAFAcheni visingizio mlizidiwa, nyinyi mlipo ifunga simba 5 mbona mlichoma hayo mafataki yenye rangi ya njano na kijani?
Alafu hakuna sheria yeyote ya fifa inayo kataza mafataki uwanjani labda ww kama sio mfuatiriaji wa lingi mbali mbali duniani.
Kwenye ligi za Ujerumani na Ufaransa mafataki yamekuwa yakitumika sana tu.
Ukienda kwenye ligi za America ya kusini hata waarabuni wakasome.