mjasiliaupeo
JF-Expert Member
- Apr 21, 2013
- 2,162
- 3,088
Kaizer chief miaka mingi hata ku qualify tu kwenye klabu bingwa wanachemka wamejikongoja mwaka huu. Point unapata unapoingia champions league. Kila atua unayosonga point zinaongezekaHiyo list ni fake, Kaiser Chiefs imezidiwa na Gor Mahia, huu ni uzushi