Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kata rufaa, henri amewahi wafunga goli chelsea, real madrid nacho amewahi wafunga seville wote walikua wanashangaa shangaa ma slow thinking...Tazama mwenyewe picha ..
Sehemu ya kuweka ukuta refa anakubalije mechi ianze wakati ukuta bado anaelekeza pa kukaa.
Kata rufaa, henri amewahi wafunga goli chelsea, real madrid nacho amewahi wafunga seville wote walikua wanashangaa shangaa ma slow thinking...
Mazingira yao yalikuaje? Kisa ni watanzania hawa marefa ndio unaona wako tofauti!??Sio katika mazingira hayo ya marefa
Sio katika mazingira hayo ya marefa
Mazingira yao yalikuaje? Kisa ni watanzania hawa marefa ndio unaona wako tofauti!??
Kumbe boya huna point...Unajuwa mwenyewe
Safari hii hamna kanuni ya kutokea...
Kumbe boya huna point...
Nimepoteza wino wangu
1.Ukiangalia video refa hana uhakika mpira ulipigwa kutoka eneo ganiKata rufaa, henri amewahi wafunga goli chelsea, real madrid nacho amewahi wafunga seville wote walikua wanashangaa shangaa ma slow thinking...
Nasema hivi wewe boya huna point ya msingi, umetumia goli la leo la simba kama reference ya kutetea ujinga wako nimekubia ulaya huko unakokusofia moja ya spain real vs sevile nacho alifunga goli kama la leo, na uingereza henri alifunga nae dhidi ya chelsea na marefa wa fifa ila bado unadai mazingira yalikua tofauti, una maanisha mazingira ya jografia au??Jinga wewe
Mbona hatuwaoni mkichezesha za kimataifa kama mpo na viwango.
Refa anaruhusiwa kusimama kwenye ukuta? angalia alipo kua refereeMazingira yao yalikuaje? Kisa ni watanzania hawa marefa ndio unaona wako tofauti!??
Refa haruhusuwi kusimama kwenye ukuta hapo ni kama kaziba angalia vizuri mkuuNasema hivi wewe boya huna point ya msingi, umetumia goli la leo la simba kama reference ya kutetea ujinga wako nimekubia ulaya huko unakokusofia moja ya spain real vs sevile nacho alifunga goli kama la leo, na uingereza henri alifunga nae dhidi ya chelsea na marefa wa fifa ila bado unadai mazingira yalikua tofauti, una maanisha mazingira ya jografia au??
Boya kabisa wewe...ionee aibu akili yako kwa kukuangusha..
Huo kwako ni ukuta? Utopolo ndio unawaponzaRefa anaruhusiwa kusimama kwenye ukuta? angalia alipo kua referee