Lawrichie
JF-Expert Member
- Aug 27, 2013
- 825
- 2,340
Ndugu yangu huyu jamaa ni shabiki lia lia wa utopolo hawezi kukuelewa, achana nae tu...Angalia hizo mechi nilizokitajia za arsenal vs chelsea na real madrid vs seville uniambie kama kipyenga kilipulizwa...