enjai ya kyasha
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 3,089
- 3,634
Kuny@ tikiti sasaUnaongea upumbavu
Hawa marefa wanasifa zipi kila siku ushenzi .....
Kama wanaviwango mbona hawapewi mechi za kimataifa.
Ushabiki wakipumbavu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuny@ tikiti sasaUnaongea upumbavu
Hawa marefa wanasifa zipi kila siku ushenzi .....
Kama wanaviwango mbona hawapewi mechi za kimataifa.
Ushabiki wakipumbavu
Sawia mkuu, angalia wote wanaohalalisha bao hilo ni shabiki wa Simba. Najiuliza kama ile mechi ya Simba na Kaizer Chiefs hapa kwa Morisson kujiangusha ili ipatikane penati kama refa angekuwa wa hapa dhahiri penati ingepigwa. Na hili goli kama ingekuwa mechi ya Simba na Yanga hapo ukuta ungepangwa, lakini Azam kwa kuwa waliisha jifanya wanyonge kwa Simba na Yanga basi wataendelea kuwa kichwa cha mwenda wazim.Tazama mwenyewe picha ..
Sehemu ya kuweka ukuta refa anakubalije mechi ianze wakati ukuta bado anaelekeza pa kukaa..
Tazama morrison alipo.. tazama refa alipo na anafanya nini huyo refa
View attachment 1831106
Inategemea na eneo kosa lilipofanyika.Kata rufaa, henri amewahi wafunga goli chelsea, real madrid nacho amewahi wafunga seville wote walikua wanashangaa shangaa ma slow thinking...
Hasirani=\asiraniMambo ya kisengerema haya! Soka letu halitokaa liendelee hasirani abadani..!!
haha na hii ndio raha ya kucheza mechi za kimataifaKaka ni goli halal.. sheria inasema yafuatayo
1. quick play inaruhusiwa kupigwa bila mpigaj kupata ruhusa ya Mwamuz..
2. Ukuta unaombwa na aliefanyiwa faulo sio matakwa ya Refa. unaweza ukajiuliza mpigaji anaombaje ukuta wakati ki uhalisia ukuta utampa distraction yeye mpigaji. atalazimika kuomba ukuta pale timu mpinzan atapokwenda kukaa karibu kabisa na mpira kuzui mpigaj asipige hapo mpigaj atalalamika kwa refa then refa ataamua kutumia kanun ya kuweka ukuta . maana yake mpinzan kamlazimisha mpigaj alalamike kwa refa.
3. Angalia refa alipopiga filimbi ya faulo.. ingekuwa ameonyesha mkono juu na kisha kwenye uelekeo wa Azam ile
ingekuwa ni direct kick.. ila alipuliza tu filimbi ya faulo maana yake haikuwa direct kwa maana mpira haupigwi moja kwa mona bila mpigaj kumpasia mchezaj wa pili.. lakin filimbi ya faulo peke yake bila direction maana mpigaj anaweza akapiga vyovyote hata angerudisha golin kwake
4. Azam walipaswa kuuzuia mpira wakat wanamfata mwamuz kulalamika ili kuwalazimisha simba nao walalamike mwamuz aamue kupanga ukuta. kitendo cha wao kumfata mwamuz kuwaacha Simba free ndo kosa lao.. hapo simba wametumia uzoefu.. na uhakika Azam wamejifunza hawatarudia kosa.
Wewe jamaa mshamba kabisaTazama mwenyewe picha ..
Sehemu ya kuweka ukuta refa anakubalije mechi ianze wakati ukuta bado anaelekeza pa kukaa..
Tazama morrison alipo.. tazama refa alipo na anafanya nini huyo refa
View attachment 1831106
Maelezo kuntu kabisa ambaye hataelewa basi huyo anaweza hata kula kinyesi chake akijiaminisha kuwa hiyo ni keki.Kaka ni goli halal.. sheria inasema yafuatayo
1. quick play inaruhusiwa kupigwa bila mpigaj kupata ruhusa ya Mwamuz..
2. Ukuta unaombwa na aliefanyiwa faulo sio matakwa ya Refa. unaweza ukajiuliza mpigaji anaombaje ukuta wakati ki uhalisia ukuta utampa distraction yeye mpigaji. atalazimika kuomba ukuta pale timu mpinzan atapokwenda kukaa karibu kabisa na mpira kuzui mpigaj asipige hapo mpigaj atalalamika kwa refa then refa ataamua kutumia kanun ya kuweka ukuta . maana yake mpinzan kamlazimisha mpigaj alalamike kwa refa.
3. Angalia refa alipopiga filimbi ya faulo.. ingekuwa ameonyesha mkono juu na kisha kwenye uelekeo wa Azam ile
ingekuwa ni direct kick.. ila alipuliza tu filimbi ya faulo maana yake haikuwa direct kwa maana mpira haupigwi moja kwa mona bila mpigaj kumpasia mchezaj wa pili.. lakin filimbi ya faulo peke yake bila direction maana mpigaj anaweza akapiga vyovyote hata angerudisha golin kwake
4. Azam walipaswa kuuzuia mpira wakat wanamfata mwamuz kulalamika ili kuwalazimisha simba nao walalamike mwamuz aamue kupanga ukuta. kitendo cha wao kumfata mwamuz kuwaacha Simba free ndo kosa lao.. hapo simba wametumia uzoefu.. na uhakika Azam wamejifunza hawatarudia kosa.
Ogopa sana teknolojiaTazama mwenyewe picha ..
Sehemu ya kuweka ukuta refa anakubalije mechi ianze wakati ukuta bado anaelekeza pa kukaa..
Tazama morrison alipo.. tazama refa alipo na anafanya nini huyo refa
View attachment 1831106