Walilofunga madrid dhid ya sevila ilikuwa zaidi ya mazingira ya leo, maana refa alikuwa anaangalia upande mwingine kabisa aliona goli limeingia na akaweka mpira kati.Sio katika mazingira hayo ya marefa
Nasema hivi wewe boya huna point ya msingi, umetumia goli la leo la simba kama reference ya kutetea ujinga wako nimekubia ulaya huko unakokusofia moja ya spain real vs sevile nacho alifunga goli kama la leo, na uingereza henri alifunga nae dhidi ya chelsea na marefa wa fifa ila bado unadai mazingira yalikua tofauti, una maanisha mazingira ya jografia au??
Boya kabisa wewe...ionee aibu akili yako kwa kukuangusha..
Wewe ni matako huoni hata pichaHuo kwako ni ukuta? Utopolo ndio unawaponza
Ina maana mie pekee ndio naona refa yuko pembeni kabisa au sio sehemu ya uluta ambapo ungekuwapo??Refa haruhusuwi kusimama kwenye ukuta hapo ni kama kaziba angalia vizuri mkuu
Ulimuona refa anafanya mkutanoWalilofunga madrid dhid ya sevila ilikuwa zaidi ya mazingira ya leo, maana refa alikuwa anaangalia upande mwingine kabisa aliona goli limeingia na akaweka mpira kati.
Wewe unaongea kinyesi tena kibichi cha kwako mwenyewe, mechibya leo refa ikua sawa maamuzi yoteUnaongea upumbavu
Hawa marefa wanasifa zipi kila siku ushenzi .....
Kama wanaviwango mbona hawapewi mechi za kimataifa.
Ushabiki wakipumbavu
Wapi nimeongelea mkutanoUlimuona refa anafanya mkutano
Faulo ilipulizwa.Maana yake mchezo umesimama.Wewe ni tundu lililo ktk hayo matako
Angalia hizo mechi nilizokitajia za arsenal vs chelsea na real madrid vs seville uniambie kama kipyenga kilipulizwa...Faulo ilipulizwa.Maana yake mchezo umesimama.
Ili mchezo uendelee lazima refarii aruhusu tena.
refa alikua ana ongea nini na wachezaji wa Azam kama ame ruhusu mpira uanze?
Acha mhemko hio picha hapo refa yupo katikati ya wachezaji wa AzamIna maana mie pekee ndio naona refa yuko pembeni kabisa au sio sehemu ya uluta ambapo ungekuwapo??
angalia refa anamsemesha mchezaji hizo game unazosema hukukua na hio kituAngalia hizo mechi nilizokitajia za arsenal vs chelsea na real madrid vs seville uniambie kama kipyenga kilipulizwa...
Acha mhemko hio picha hapo refa yupo katikati ya wachezaji wa Azam
Wako pembeni kabisa ya mpiraangalia refa anamsemesha mchezaji hizo game unazosema hukukua na hio kitu
Ukuta upi wewe? Watu wako pembeni kabisa ya mpira, umewahi fika ktk viwanja vya mpira au hata kuangalia mpira ktk tv na kujua michoro ya mistari ya viwanja? Yawezekana nazungumza na tozi wa basketball ambaye hajui mpira wa miguu ukojeRefa anaruhusiwa kusimama kwenye ukuta? angalia alipo kua referee
Ukipata muda soma hiyoooo mkuu1.Ukiangalia video refa hana uhakika mpira ulipigwa kutoka eneo gani
2. filimbi ilikua mkononi huo mpira kauanzia aje?
3 . Eneo alilo simama refa sio sahihi
angalia refa anamsemesha mchezaji hizo game unazosema hukukua na hio kitu
Ficha ujinga wako kama hujui football.... Quick start huwa haihitaji mpaka refa apulize filimbi...1.Ukiangalia video refa hana uhakika mpira ulipigwa kutoka eneo gani
2. filimbi ilikua mkononi huo mpira kauanzia aje?
3 . Eneo alilo simama refa sio sahihi