Ndugu yangu huyu jamaa ni shabiki lia lia wa utopolo hawezi kukuelewa, achana nae tu...Angalia hizo mechi nilizokitajia za arsenal vs chelsea na real madrid vs seville uniambie kama kipyenga kilipulizwa...
Kutoka kwenda wapi
Kwa ushenzi wa Tff na uyanga na usimba
Demeti.
Mambo ya kisengerema haya! Soka letu halitokaa liendelee hasirani abadani..!!
Unaongea upumbavu
Hawa marefa wanasifa zipi kila siku ushenzi .....
Kama wanaviwango mbona hawapewi mechi za kimataifa.
Ushabiki wakipumbavu
Angalia hizo mechi nilizokitajia za arsenal vs chelsea na real madrid vs seville uniambie kama kipyenga kilipulizwa...
Wewe jamaa ni mweupe sana kichwani ...Faulo ilipulizwa.Maana yake mchezo umesimama.
Ili mchezo uendelee lazima refarii aruhusu tena.
refa alikua ana ongea nini na wachezaji wa Azam kama ame ruhusu mpira uanze?
Leo ilikua ni Azam na Simba Mkuu!! Yanga imekujaje hapa? Kua na Heshima, sawa Bwana!!?Ukiwa mbishi,utapigwa tu.
Yanga mlitaka afungwe nani?
Nashindwa kuelewa kwanini hili goli limekuwa ajabu na wakati ni goli halali kabisa.Kata rufaa, henri amewahi wafunga goli chelsea, real madrid nacho amewahi wafunga seville wote walikua wanashangaa shangaa ma slow thinking...
Hahaha!!! Huyu hajui chochote kuhusu mpira.Mazingira yao yalikuaje? Kisa ni watanzania hawa marefa ndio unaona wako tofauti!??
Sasa hoja ni marefa au uhalali wa hilo goli?.Unaongea upumbavu
Hawa marefa wanasifa zipi kila siku ushenzi .....
Kama wanaviwango mbona hawapewi mechi za kimataifa.
Ushabiki wakipumbavu
Huyu ndiyo hajui kitu kabisa kuhusu football.Wewe jamaa ni mweupe sana kichwani ...
Empty headed kabisa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]
Subiri kipyenga cha Mwisho upate darasa kutoka kwa Othuman Kazi!Tatizo wabongo hamjui sheria halafu midomo kwa sana!1.Ukiangalia video refa hana uhakika mpira ulipigwa kutoka eneo gani
2. filimbi ilikua mkononi huo mpira kauanzia aje?
3 . Eneo alilo simama refa sio sahihi
Zungumzia tukio husika na sheria inasemaje juu ya Quick free kick!Msome sheria za mpira kabla ya kupanua midomo yenu,wabongo noma!Ungesubiri walau mpira uishe usikie walau wachambuzi wanasemaje!Au ungeingia youtube ukasearch quick free kick halafu ukajifunza!Unaongea upumbavu
Hawa marefa wanasifa zipi kila siku ushenzi .....
Kama wanaviwango mbona hawapewi mechi za kimataifa.
Ushabiki wakipumbavu
Zungumzia tukio husika na sheria inasemaje juu ya Quick free kick!Msome sheria za mpira kabla ya kupanua midomo yenu,wabongo noma!Ungesubiri walau mpira uishe usikie walau wachambuzi wanasemaje!Au ungeingia youtube ukasearch quick free kick halafu ukajifunza!Unaongea upumbavu
Hawa marefa wanasifa zipi kila siku ushenzi .....
Kama wanaviwango mbona hawapewi mechi za kimataifa.
Ushabiki wakipumbavu
Tazama mwenyewe picha ..
Sehemu ya kuweka ukuta refa anakubalije mechi ianze wakati ukuta bado anaelekeza pa kukaa..
Tazama morrison alipo.. tazama refa alipo na anafanya nini huyo refa
View attachment 1831106
Tazama mwenyewe picha ..
Sehemu ya kuweka ukuta refa anakubalije mechi ianze wakati ukuta bado anaelekeza pa kukaa..
Tazama morrison alipo.. tazama refa alipo na anafanya nini huyo refa
View attachment 1831106
TFF ya sasa wajinga sana
Kila siku hawa marefa wafanya mafundu
Viwango vyakijinga usimba na uyanga
Wanaribu sana heshima ya TFF.
Tazama mwenyewe picha ..
Sehemu ya kuweka ukuta refa anakubalije mechi ianze wakati ukuta bado anaelekeza pa kukaa..
Tazama morrison alipo.. tazama refa alipo na anafanya nini huyo refa
View attachment 1831106
Dhahiri kabisa,refa hakuruhusu mpira.Goli kakubali.
Watakaa sana.
Mambo ya kisengerema haya! Soka letu halitokaa liendelee hasirani abadani..!!
1.Ukiangalia video refa hana uhakika mpira ulipigwa kutoka eneo gani
2. filimbi ilikua mkononi huo mpira kauanzia aje?
3 . Eneo alilo simama refa sio sahihi
Unaongea upumbavu
Hawa marefa wanasifa zipi kila siku ushenzi .....
Kama wanaviwango mbona hawapewi mechi za kimataifa.
Ushabiki wakipumbavu
Goli la tatu Simba vs Nkana miaka miwili nyuma , anafunga chama kwa Kisigizo akipokea pasi kutoka kwa Dilunga , goli ambalo liliwapeleka Simba group stage club bingwaView attachment 1831164
nimeona niiweke tena hii picha, ni ukuta upi ambao refa kasimama hapa? Huo mstari unauona? Ukuta upi unasimama pembeni kabisa ulipo mpira? Chama yuko karibu na mpira ila pembeni, refa yukonpbeni zaidi, huo mstari sijui uniona? Vaa miwani au weka utopolo pembeni utaona vizuri..
Huo mstari perpendicular na mstari wa kona sio mstari mmoja