MO11
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 19,057
- 39,387
Nani asiyeipenda simba ukiachana na wavuta bangi ?
Nenda kwa wanalamba lamba watakwambia simba baba lao
wanajeshi wa mpakani huwaambii kitu kwa mnyama
Sasa Caf wameanza kuisogelea simba
washajua simba ina mashabiki wengi sana
Na mpira unahitaji mashabiki tena mashabiki lia lia
Hivyo wameamua kukaa karibu nao wanajua ukitaka comment nyingi kwenye page zao za mitandao ya kijamii wanaiongelea simba
Uzuri wake simba haiongelewi kwa mabaya kama wachavuzi wa huku bongo hivyo wanapata wanachokitaka
Kuanzia sasa nakuendelea huwezi kukuta timu ngumu ikikutana na simba kwenye hatua za mwanzo
Mpira una fitina nje ya uwanja
wanajua mashabiki wakiruhusiwa wana uhakika wa mashabiki elfu sitini mechi tano hadi saba kila msimu
wanataka nn zaidi ya hela na simba ni hela
Usishangae kuona wachezaji wa simba katika kurasa za caf kila wanapotimiza miaka kadhaa
Ila kamwe hautakuta wadaka mishale wakiwa katika kurasa zao
wanakwambia kama anadaka mishale akapigane na Jumong huko
Nenda kwa wanalamba lamba watakwambia simba baba lao
wanajeshi wa mpakani huwaambii kitu kwa mnyama
Sasa Caf wameanza kuisogelea simba
washajua simba ina mashabiki wengi sana
Na mpira unahitaji mashabiki tena mashabiki lia lia
Hivyo wameamua kukaa karibu nao wanajua ukitaka comment nyingi kwenye page zao za mitandao ya kijamii wanaiongelea simba
Uzuri wake simba haiongelewi kwa mabaya kama wachavuzi wa huku bongo hivyo wanapata wanachokitaka
Kuanzia sasa nakuendelea huwezi kukuta timu ngumu ikikutana na simba kwenye hatua za mwanzo
Mpira una fitina nje ya uwanja
wanajua mashabiki wakiruhusiwa wana uhakika wa mashabiki elfu sitini mechi tano hadi saba kila msimu
wanataka nn zaidi ya hela na simba ni hela
Usishangae kuona wachezaji wa simba katika kurasa za caf kila wanapotimiza miaka kadhaa
Ila kamwe hautakuta wadaka mishale wakiwa katika kurasa zao
wanakwambia kama anadaka mishale akapigane na Jumong huko