Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
kwani huyu ndiye alichezesha ile mechi ambayo makolo tulikufa bao 5Mganga wa hili macho kengeza aongezewe poaho, maana sio tapeli kabisa.
Baba silipendi hili, yaan had CAF wanaliteua lichezeshe match, bas ulozi wake umevuka mipaka.
Mxxxxxiiiiiieeeew.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Kwani anashida gani mbana ni Refa mzuri tu, hayo mengine ni chuki tu kama sio chuki nitajie Refa aliyekamilika 100% kwenye dunia hii tangu uujue mchezo wa mpiraMganga wa hili macho kengeza aongezewe poaho, maana sio tapeli kabisa.
Baba silipendi hili, yaan had CAF wanaliteua lichezeshe match, bas ulozi wake umevuka mipaka.
Mxxxxxiiiiiieeeew.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Acha roho mbaya na mawazo ya kimaskini na kichawiMganga wa hili macho kengeza aongezewe poaho, maana sio tapeli kabisa.
Baba silipendi hili, yaan had CAF wanaliteua lichezeshe match, bas ulozi wake umevuka mipaka.
Mxxxxxiiiiiieeeew.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Usikute huyu angekuwa anatokea Kenya tu hapo angempenda ila kwasababu ni MTZ anaona hafai wakati marefa karibu wote duniani wanakoseaAcha roho mbaya na mawazo ya kimaskini na kichawi
Hivi ni kwa nini referees wengi huwa wanapenda kuvaa jezi zenye rangi za Utopolo?Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) limemteua mwamuzi wa Tanzania, Ahmed Arajiga, kuwa miongoni mwa waamuzi watakaosimamia mchezo wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) kati ya Pyramids FC ya Misri na FC FAR ya Morocco.
Soma: Arajiga, Komba wachaguliwa kuchezesha CHAN 2025
Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Aprili 1, 2025, kwenye Uwanja wa 30 June, Cairo, Misri. Uteuzi wa Arajiga unadhihirisha maendeleo ya waamuzi wa Tanzania katika medani ya soka barani Afrika.
Zinapendeza kuzitazamaHivi ni kwa nini referees wengi huwa wanapenda kuvaa jezi zenye rangi za Utopolo?
Utajipupulia kwa chuki zakoMganga wa hili macho kengeza aongezewe poaho, maana sio tapeli kabisa.
Baba silipendi hili, yaan had CAF wanaliteua lichezeshe match, bas ulozi wake umevuka mipaka.
Mxxxxxiiiiiieeeew.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
CollinaKwani anashida gani mbana ni Refa mzuri tu, hayo mengine ni chuki tu kama sio chuki nitajie Refa aliyekamilika 100% kwenye dunia hii tangu uujue mchezo wa mpira