Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Unajua maana ya first time ever ungeelewa maana ya first time ever maana yake hamjawah in any occasionAcheni kuongozwa na Mjinga maana anawafanya wote muwe wajinga, hakuna aliekataa kuwa CAF ndio wamesema hivo
Actually CAF Wamesema hivo coz ni kweli Kwa sababu tangu mashindano yaanze kuitwa CAF champions League Simba hajafika nusu fainali, kabla hayajabadirishwa Jina ashafika
Ukiskia Madrid anaongoza Kwa kubeba makombe ya champions League unadhani wameanza kuhesabu kipindi yanaitwa Champions League au tangu kabla ya hapo?
Kwahiyo hapo zwazwa ni nyie msiotaka kuelewa na kuongozwa na mtu aliewaita huko mlipo wenye Akili timamu ni watu wawili tu, na bahati mbaya tangu aungane na nyie huko bado hajaongeza list ya wenye Akili timamu kwahiyo namba inaendelea kusalia ile ile ya Sunday na Kikwete
Alafu manara anaingiaje habari atoe CAF lawama apelekewa manara si-uwendawazimu huo tumia akili mda mwingine
Hio habari ipo kwenye official account ya twitter ya CAF wala haina uhusiano na manara
Wa-DM Admin wa CAF wa account ya twitter mwambie amekosea na sio umtukane manara yeye sio admin kule unanyoonyesha jinsi ulivyo mjinga