CAF wapost slogan ya miso misondo

CAF wapost slogan ya miso misondo

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
[emoji2957]Kumbe CAF wanetu kabisa Hawa yaani "We Simon Msuva umepigaje hapo [emoji16][emoji2957].

Hii ni Baada ya msuva kuruka soti ( kavu in nyakyusa) ya kwenda juu nyuzi 368°

Huyu admin wa CAF apewe maua yake .... Coz inaonekana anafuatilia trending za TZ

Mwaka Jana alipost slogan ya king kiba " Sisi ni people"
1705932109035.jpg
 
[emoji2957]Kumbe CAF wanetu kabisa Hawa yaani "We Simon Msuva umepigaje hapo [emoji16][emoji2957].

Hii ni Baada ya msuva kuruka soti ( kavu in nyakyusa) ya kwenda juu nyuzi 368°

Huyu admin wa CAF apewe maua yake .... Coz inaonekana anafuatilia trending za TZ

Mwaka Jana alipost slogan ya king kiba " Sisi ni people"View attachment 2879627

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
We falla sana😂😂
 
[emoji2957]Kumbe CAF wanetu kabisa Hawa yaani "We Simon Msuva umepigaje hapo [emoji16][emoji2957].

Hii ni Baada ya msuva kuruka soti ( kavu in nyakyusa) ya kwenda juu nyuzi 368°

Huyu admin wa CAF apewe maua yake .... Coz inaonekana anafuatilia trending za TZ

Mwaka Jana alipost slogan ya king kiba " Sisi ni people"View attachment 2879627

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Admin wa CAF huwa anafanya mawasiliano na Media Officer wa TFF au Shirikisho lolote la soka na kumuuliza baadhi ya taarifa ili azitumie kunogesha kwenye content za page ya CAF
 
Back
Top Bottom