Rosh Hashannah
JF-Expert Member
- Sep 13, 2017
- 3,415
- 2,043
Uwezo hauchagui uwanjaSasa wale ambao wanategemeaga kwa mkapa itakuwaje
Uzembe wa wasimamizi wa uwanja.Shirikisho la Soka Afrika (CAF), limefungia Uwanja wa Benjamini Mkapa kutotumika kwa kile kilichoelezwa umeharibika eneo la kuchezea (pitch) na sasa utafungwa kwa mwezi mmoja kupisha marekebisho.
Source: Mwanaspoti
Chamazi ipo.Sasa wale ambao wanategemeaga kwa mkapa itakuwaje
Hata kama ni uzushi ila iwe alarm kwa wasimamizi wa uwanjaUzushi.
Uhuru pia upo..!!Chamazi ipo.
Huenda hawamlipi. Mijitu inabunya tu hela za viingilio but pesa ya kutunza hicho kiwanja hakuna. Kweli mtu mweusi ni symbol ya ujinga.Manager Wa Ule Uwanja Ni Kilaza, Pitch ilikuwa Inaonekana Tu Inadhoofika Kadri Siku Zinavyozidi Kwenda Na Yeye Yupo Tu.
Uwanja wa Benjamin Mkapa (Lupaso) haujafungiwa na CAF kama inavyosambazwa na watu mtandaoni.Shirikisho la Soka Afrika (CAF), limefungia Uwanja wa Benjamini Mkapa kutotumika kwa kile kilichoelezwa umeharibika eneo la kuchezea (pitch) na sasa utafungwa kwa mwezi mmoja kupisha marekebisho.
View attachment 2525849
Source: Mwanaspoti
======
Taarifa hii imefanyiwa kazi kwenye jukwaa la Jamii Check, soma: UZUSHI - CAF yaufungia uwanja wa Mkapa ili kupisha matengenezo ya Sehemu ya Kuchezea