CAF Yaitaja simba kuwa klabu namba 5 kwa utajiri barani afrika

Kuna mambumbumbu wameamini hili na kupigia makofi[emoji16][emoji23][emoji16][emoji23]
 
then what
 
Hivi unajua Ac and Milan iliwahi kuwa club tajiri lkn hadi Leo hawana viwanja. Elimika kuna vigezo vingi wanaangalia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
This ithi thimba
 
Una upeo Mkubwa sana tuachen ushabik wa mambo ya kijinga simba na yanga hazina asset yeyote, Leo hii mo akijitoa simba inarudi kule kule Kwa Yanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…