Chumchang Changchum
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 5,988
- 6,226
Yanga naiyona mlivyo vimba mishavu kwenye huu uzi..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi wewe unafatilia mpira kwer ?Chelsea,Bayern Munich,inter Milan,ac Milan,arsenal zote hizo hazimiliki viwanja vyao.na bado ni timu tajiri duniani
[emoji23][emoji23][emoji23] mkuu hata mm napata mashaka na hizi information.Simba inaizidi mamelody Sandown [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Simba inaizidi Orlando pairets[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu hata mm napata mashaka na hizi information.
Sent from Nokia 7 Plus
Mkuu hawa watu wamekaa wakatengeneza hu uharo[emoji23]Simba inaizidi Orlando pairets[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Uwekezaji wa Azam fc hakuna team ya bongo iaugusa,Hata kama hayo mengine yapoDuh..azama hii ambayo inashindwa kulipa mishahara ya Hadhi kwa wachezaji wake?? Hii ambayo siku hizi haina match allowance? Au ipi hiyo?
ndio wale waliwapiga hamsa misriwale tulifunga kwa mchina ndio inaongoza sio!!
Chelsea alipigwa sita,,,Ndo simba hii onayofungwa mpaka magoli 5 au.?
Mamikono kama yotee kama mama akiwa anazaaaNdo simba hii onayofungwa mpaka magoli 5 au.?
Ile n Timu ya wananchi kwa hiyo ili ujue kiwango chake inabidi uangalie kiwango kilichoko hazinaWale pale kaunda wako wapi kwenye List za Caf
Simba kaza muda si mrefu tutakuwa tunaipumulia kisogoni Los blancos -Madrid
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli ndugu kushabikia upuuzi hapana ! Simba ya Tano ! Mh basi hizi Timu nyingine zikoje FC lUPOPo,VITA ,eL MEREKH,Timu za Libya ,Tunisia,Algeria,Nigeria,Cameruni au Angola .haya ni matango poruiMie mshabiki wa simba lakini sishabikii upuuzi. Huo utajiri wa simba upon kwenye nini?. Simba INA kitega uchumi kipi zaidi ya lile jengo LA kariakoo ambalo thamani yake haizidi mil 500?. Tuache ushabiki maandazi. Angalau Singida United wanamilili Mashamba ya Alizeti. Kwa umri wa simba, ilipaswa imiliki mabasi ya mwendokasi, boti za kwenda zenji wanda vya vifaa vya michezo, Msimbazi centre, mabasi ya mikoani mfano Simba luxury coach, chuo kikuu cha michezo( Simba University of Sports and Games),_Shule na hospitali. Simba international school and Simba Medical centre.
Unauliza au unashangaa,we si unangoja kina Edo Kumwembe na shafii dauda wakuambie,au mwanasport wakutafsirie ndio uhabarike soma babu,ingia magoogleni huko ukajioneee mwenyewe
We ndo umesemaUwekezaji wa Azam fc hakuna team ya bongo iaugusa,Hata kama hayo mengine yapo