AKILI TATU
JF-Expert Member
- Feb 10, 2016
- 2,659
- 2,827
- Thread starter
- #141
Utajiri wa simba now ni USD 10 sawa na bilioni 20 za kibongo plus assets zenye thamani ya bilioni 7mbona unalikimbia hili swali.. zinajulikana na nani??
wewe mleta hoja tupe majibu.. tuambie simba inamiliki hiki na hiki vina value ya kiasi fulani na simba ina pesa bank kiasi fulani..
usikimbie swali