CAF Yaitaja simba kuwa klabu namba 5 kwa utajiri barani afrika

CAF Yaitaja simba kuwa klabu namba 5 kwa utajiri barani afrika

Wewe ndiye unayelete story za vijiweni. Mimi nimekuonyesha assets za Yanga, wewe sijui unazungumzia hela ipi uliyoiona au document ipi uliyoiona?
Jitafakari. Wewe ndiye unayeleta story za kijiweni.
Mbona unazunguka leta data,hayo maneno mtu yoyote anaweza sema.
 
Wapi Raja casablanca,enyimba etc,hizi takwimu zitakuwa zimetolewa na haji manara si bure

Sent using Jamii Forums mobile app


ha ha ha simba tajiri kuliko mamelodi sundowns, enyima, es setif, el hilal, raja casablanca, asec mimosas, canon younde, kaizer chiefs, wydad casablanca, etoil du sahel.... simba ni nguvu moyaaaa.. in zaheras voice
 
Klabu ya Simba SC ya jijini Dar es salaam imetajwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF), kuwa klabu namba 5 kwa utajiri Barani Afrika.

Simba SC imetajwa kuwa na utajiri wa karibu Paund milioni 10.35 ambayo ni sawa na Bilioni 32.3 kwa shilingi ya Tanzania.

Katika orodha hiyo Al Ahly kutoka Misri inaongoza ikiwa na utajiri wa Paund milioni 19.25 ikifuatiwa naEsperance Sportive de Tunis 12.75M na Club Africain 11. 8M zote kutoka Tunisia.
Ya nne Kaizer Chiefs ya kutoka nchini Afrika Kusini ambayo yenyewe inatajiri karibu Paund milioni 10.48.


Klabu tajiri zaidi Barani Afrika
Chanzo: MwanaspotiApp


enyimba stadium.. weka mikia stadium



ndege ya Tp mazembe.. weka ndege ya mikia.. au bombadia

 
Klabu ya Simba SC ya jijini Dar es salaam imetajwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF), kuwa klabu namba 5 kwa utajiri Barani Afrika.

Simba SC imetajwa kuwa na utajiri wa karibu Paund milioni 10.35 ambayo ni sawa na Bilioni 32.3 kwa shilingi ya Tanzania.

Katika orodha hiyo Al Ahly kutoka Misri inaongoza ikiwa na utajiri wa Paund milioni 19.25 ikifuatiwa naEsperance Sportive de Tunis 12.75M na Club Africain 11. 8M zote kutoka Tunisia.
Ya nne Kaizer Chiefs ya kutoka nchini Afrika Kusini ambayo yenyewe inatajiri karibu Paund milioni 10.48.


Klabu tajiri zaidi Barani Afrika
Chanzo: MwanaspotiApp
Kwa kipi hasa?
 
Wadau nashindwa kuelewa uongozi wa simba kabisa hivi kweli simba mda wote uo wanashindwa kutengeneza uwanja ule wa bunju yani ukipita pale unakuta miti kama yote imeota unajua simba ni klabu kubwa sana nashindwa kuelewa kwa nini kuna ukakasi kwenye hili swala la uwanja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Klabu ya Simba SC ya jijini Dar es salaam imetajwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF), kuwa klabu namba 5 kwa utajiri Barani Afrika.

Simba SC imetajwa kuwa na utajiri wa karibu Paund milioni 10.35 ambayo ni sawa na Bilioni 32.3 kwa shilingi ya Tanzania.

Katika orodha hiyo Al Ahly kutoka Misri inaongoza ikiwa na utajiri wa Paund milioni 19.25 ikifuatiwa naEsperance Sportive de Tunis 12.75M na Club Africain 11. 8M zote kutoka Tunisia.
Ya nne Kaizer Chiefs ya kutoka nchini Afrika Kusini ambayo yenyewe inatajiri karibu Paund milioni 10.48.


Klabu tajiri zaidi Barani Afrika
Chanzo: MwanaspotiApp
Huu ni zaidi ya umbumbumbu
 
ha ha ha simba tajiri kuliko mamelodi sundowns, enyima, es setif, el hilal, raja casablanca, asec mimosas, canon younde, kaizer chiefs, wydad casablanca, etoil du sahel.... simba ni nguvu moyaaaa.. in zaheras voice
Duh,ficha uzwazwa wako.

Canon Yaoundé Mara ya mwisho kuisikia ljni?,asec mimosasa nayo tajiri?enyimba ya sasa nayo tajiri?ptuuu ficha uchi mzee
 
Duh,ficha uzwazwa wako.

Canon Yaoundé Mara ya mwisho kuisikia ljni?,asec mimosasa nayo tajiri?enyimba ya sasa nayo tajiri?ptuuu ficha uchi mzee



weka asset ya simba yeyote.. hata ghorofa la kariakoo ha ha ha,,, uwanja wa enyimba huu apa mabilioni yametumika .. weka wa kwenu matajiri matajiri

 
Back
Top Bottom