Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Kawaaibisha sana huyu AKILI TATU kuleta habari za uongo namna hii aiseeee.Naikatia rufaa hii ripoti,Simba inaelekea huko haijafika huko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawaaibisha sana huyu AKILI TATU kuleta habari za uongo namna hii aiseeee.Naikatia rufaa hii ripoti,Simba inaelekea huko haijafika huko.
Mbona unazunguka leta data,hayo maneno mtu yoyote anaweza sema.Wewe ndiye unayelete story za vijiweni. Mimi nimekuonyesha assets za Yanga, wewe sijui unazungumzia hela ipi uliyoiona au document ipi uliyoiona?
Jitafakari. Wewe ndiye unayeleta story za kijiweni.
Sio kuja tuu mi nimezaliwa mwananyamala hospital...hivi jangwani pale ni kariakoo,kwaio hata Hidden,Mbuga,Muddy wanaofundisha twisheni kule wapo kariakoo?Jangwani ni wapi? Umekuja lini mjini bruh..
Ndo simba hii onayofungwa mpaka magoli 5 au.?
Line ile ulipo uwanja wa kaunda panaitwa bondeni ilala mchikichiniJangwani ni wapi? Umekuja lini mjini bruh..
Wapi Raja casablanca,enyimba etc,hizi takwimu zitakuwa zimetolewa na haji manara si bure
Sent using Jamii Forums mobile app
Klabu ya Simba SC ya jijini Dar es salaam imetajwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF), kuwa klabu namba 5 kwa utajiri Barani Afrika.
Simba SC imetajwa kuwa na utajiri wa karibu Paund milioni 10.35 ambayo ni sawa na Bilioni 32.3 kwa shilingi ya Tanzania.
Katika orodha hiyo Al Ahly kutoka Misri inaongoza ikiwa na utajiri wa Paund milioni 19.25 ikifuatiwa naEsperance Sportive de Tunis 12.75M na Club Africain 11. 8M zote kutoka Tunisia.
Ya nne Kaizer Chiefs ya kutoka nchini Afrika Kusini ambayo yenyewe inatajiri karibu Paund milioni 10.48.
Klabu tajiri zaidi Barani Afrika
Chanzo: MwanaspotiApp
Hhahahahahha et azam haina uwanja ila niwa mmiliki wa azam na mwenye azam ninaniHata Azam sio tajiri na haina uwanja wake. Mmiliki wa Azam ndiye mwenye timu na uwanja. Kama unabisha, kainunue Azam FC Leo kama utapewa na uwanja. Mapato ya timu yajenge uwanja ndipo tuseme timu ina uwanja wake
Unaelewa maana ya data?Mbona unazunguka leta data,hayo maneno mtu yoyote anaweza sema.
Huwezi kuzaliwa Dar ukashabikia Simba. Samahan, je wewe ni muhindi au mmanga?Sio kuja tuu mi nimezaliwa mwananyamala hospital...hivi jangwani pale ni kariakoo,kwaio hata Hidden,Mbuga,Muddy wanaofundisha twisheni kule wapo kariakoo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kipi hasa?Klabu ya Simba SC ya jijini Dar es salaam imetajwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF), kuwa klabu namba 5 kwa utajiri Barani Afrika.
Simba SC imetajwa kuwa na utajiri wa karibu Paund milioni 10.35 ambayo ni sawa na Bilioni 32.3 kwa shilingi ya Tanzania.
Katika orodha hiyo Al Ahly kutoka Misri inaongoza ikiwa na utajiri wa Paund milioni 19.25 ikifuatiwa naEsperance Sportive de Tunis 12.75M na Club Africain 11. 8M zote kutoka Tunisia.
Ya nne Kaizer Chiefs ya kutoka nchini Afrika Kusini ambayo yenyewe inatajiri karibu Paund milioni 10.48.
Klabu tajiri zaidi Barani Afrika
Chanzo: MwanaspotiApp
Huu ni zaidi ya umbumbumbuKlabu ya Simba SC ya jijini Dar es salaam imetajwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF), kuwa klabu namba 5 kwa utajiri Barani Afrika.
Simba SC imetajwa kuwa na utajiri wa karibu Paund milioni 10.35 ambayo ni sawa na Bilioni 32.3 kwa shilingi ya Tanzania.
Katika orodha hiyo Al Ahly kutoka Misri inaongoza ikiwa na utajiri wa Paund milioni 19.25 ikifuatiwa naEsperance Sportive de Tunis 12.75M na Club Africain 11. 8M zote kutoka Tunisia.
Ya nne Kaizer Chiefs ya kutoka nchini Afrika Kusini ambayo yenyewe inatajiri karibu Paund milioni 10.48.
Klabu tajiri zaidi Barani Afrika
Chanzo: MwanaspotiApp
Duh,ficha uzwazwa wako.ha ha ha simba tajiri kuliko mamelodi sundowns, enyima, es setif, el hilal, raja casablanca, asec mimosas, canon younde, kaizer chiefs, wydad casablanca, etoil du sahel.... simba ni nguvu moyaaaa.. in zaheras voice
Duh..azama hii ambayo inashindwa kulipa mishahara ya Hadhi kwa wachezaji wake?? Hii ambayo siku hizi haina match allowance? Au ipi hiyo?Hata Azam fc tu hamuwafikii
Unatesekaaa?? Duh..Kawaaibisha sana huyu AKILI TATU kuleta habari za uongo namna hii aiseeee.
Duh,ficha uzwazwa wako.
Canon Yaoundé Mara ya mwisho kuisikia ljni?,asec mimosasa nayo tajiri?enyimba ya sasa nayo tajiri?ptuuu ficha uchi mzee