CAF Yaitaja simba kuwa klabu namba 5 kwa utajiri barani afrika

CAF Yaitaja simba kuwa klabu namba 5 kwa utajiri barani afrika

Hapo hamna haja ya kueleweshwa, wewe ziangalie hizi timu zinamiliki nini. Fananisha club ya Jangwani na jengo la club Msimbazi.
Halafu pia usisahau yanga ina Plot ya maana pale Mafia street (prime area).
Simba wana nini? Achana na mambo ya list.
Simba ina majengo mawili kariakoo hivi thamani ya jengo likiwa kariakoo sawa na jengo lililopo jangwani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mie mshabiki wa simba lakini sishabikii upuuzi. Huo utajiri wa simba upon kwenye nini?. Simba INA kitega uchumi kipi zaidi ya lile jengo LA kariakoo ambalo thamani yake haizidi mil 500?. Tuache ushabiki maandazi. Angalau Singida United wanamilili Mashamba ya Alizeti. Kwa umri wa simba, ilipaswa imiliki mabasi ya mwendokasi, boti za kwenda zenji wanda vya vifaa vya michezo, Msimbazi centre, mabasi ya mikoani mfano Simba luxury coach, chuo kikuu cha michezo( Simba University of Sports and Games),_Shule na hospitali. Simba international school and Simba Medical centre.
Unajua wanavuta pesa ngapi kwenye haya mashindano ?
 
TWENDE KWA DATA KAMILI, HII TAKWIMU IMETOLEWA 15/11/2018
Screenshot_20190224-155036.jpg
 
Sasa hiyo namba tano wameitoa wapi?

Hapa ndio naielewa ile kauli ya Rage. Aiseeee. Yaani mtu anajipinda kuandika kwa habari za Insta lol.
afuu huu ujinga umezagaa kwenye magrouo ya whatsapp hadi kero[emoji16][emoji16][emoji16] na watu wanachekelea tu. Yaani wanashindwa hata kujiuliza tu hata uwanja wa mazoez hamna tunakuaje matajiri? Mchezaj wa thamani kubwa havuki M250
 
afuu huu ujinga umezagaa kwenye magrouo ya whatsapp hadi kero[emoji16][emoji16][emoji16] na watu wanachekelea tu. Yaani wanashindwa hata kujiuliza tu hata uwanja wa mazoez hamna tunakuaje matajiri? Mchezaj wa thamani kubwa havuki M250
Wanaochekelea si ndio hao Mambumbumbu Mkuu.
 
Simba sio serikali ni sports club, haina mambo mengi ni sports tuuuu

Mie mshabiki wa simba lakini sishabikii upuuzi. Huo utajiri wa simba upon kwenye nini?. Simba INA kitega uchumi kipi zaidi ya lile jengo LA kariakoo ambalo thamani yake haizidi mil 500?. Tuache ushabiki maandazi. Angalau Singida United wanamilili Mashamba ya Alizeti. Kwa umri wa simba, ilipaswa imiliki mabasi ya mwendokasi, boti za kwenda zenji wanda vya vifaa vya michezo, Msimbazi centre, mabasi ya mikoani mfano Simba luxury coach, chuo kikuu cha michezo( Simba University of Sports and Games),_Shule na hospitali. Simba international school and Simba Medical centre.
 
Back
Top Bottom