CAF Yaitaja simba kuwa klabu namba 5 kwa utajiri barani afrika

CAF Yaitaja simba kuwa klabu namba 5 kwa utajiri barani afrika

Mimi sijaviona,Walioviona wamesema hivyo na wewe ukibisha tafuta uvione.
Tayar uneshathibitisha umbumbu wako tayar, klabu ya tano kwa utajiri hata kiwanja Cha mazoezi hakuna, basi Kama ni kwel vilabu vya afrika vina Hali mbaya Sana kiuchumi aisee, kwa mwendo huu mpira wa Africa hautokaa ukue hata siku moja, ndio maana Hadi kwenye kombe la dunia Kila siku tunawasindikiza wazungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simba hatujafika huko.. na hatutafika leo ,wenzetu wamekuwa kwenye ubora na uwekezaji kitambo.
 
Simba hatujafika huko.. na hatutafika leo ,wenzetu wamekuwa kwenye ubora na uwekezaji kitambo.
Mzigo umemwagwa hivi karibuni na unatengeneza faida.
Hivyo inategemea ukubwa wa mzigo ukiowekwa hapo clabuni na sio uwekezaji wa muda mrefu.
Uwanja ndio huo unajengwa na mengine yanafuata.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Simba Sasa pia ni kampuni Sasa watu wanabisha Nini kwa hizi takwimu ? Kama ingekua in thamani ya utajiri was bilioni 100 tungekataa,ila kwa pesa alizoweka MO ukijumlisha thamani ya majengo mawili pale msimbazi,uwanja wanaojenga Bunju unakadiriwa kuwa una thamani ya kiasi gani mbona list ipo mle mle tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Paper zinasema ivyo labda uhalisia ukatae MO amewekeza kwa hisa za Bilioni 20+,hisa zengine zinauzwa kwa wanachama ukipiga calculation hizo takwimu zipo sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utajiri bila facilities ni bure kabisa
- Uwanja
- Hostels
- Academy
- Media

Bas japo hata Verification badge kwenye Social Media.
 
Simba Sasa pia ni kampuni Sasa watu wanabisha Nini kwa hizi takwimu ? Kama ingekua in thamani ya utajiri was bilioni 100 tungekataa,ila kwa pesa alizoweka MO ukijumlisha thamani ya majengo mawili pale msimbazi,uwanja wanaojenga Bunju unakadiriwa kuwa una thamani ya kiasi gani mbona list ipo mle mle tuu

Sent using Jamii Forums mobile app

Hizo pesa zimewekezwa kwny nn?ukienda kutembelea chamazi ule uwekezaji hamna klab yeyote iliyofanya africa mashariki. Hizi takwimu nyingine ni vichekesho sana
 
Paper zinasema ivyo labda uhalisia ukatae MO amewekeza kwa hisa za Bilioni 20+,hisa zengine zinauzwa kwa wanachama ukipiga calculation hizo takwimu zipo sawa

Sent using Jamii Forums mobile app

Bilioni 20 ya MO imewekezwa kwny nn?maana uwekezaji wa hela hiyo huwezi kuanza kuutafuta unaonekana tu.

Mfano mzuri ni Azam complex kule chamazi nadhani hao CAF hawakufika kule wakaona
 
Back
Top Bottom