1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo ni kweliiiiiiMie mshabiki wa simba lakini sishabikii upuuzi. Huo utajiri wa simba upon kwenye nini?. Simba INA kitega uchumi kipi zaidi ya lile jengo LA kariakoo ambalo thamani yake haizidi mil 500?. Tuache ushabiki maandazi. Angalau Singida United wanamilili Mashamba ya Alizeti. Kwa umri wa simba, ilipaswa imiliki mabasi ya mwendokasi, boti za kwenda zenji wanda vya vifaa vya michezo, Msimbazi centre, mabasi ya mikoani mfano Simba luxury coach, chuo kikuu cha michezo( Simba University of Sports and Games),_Shule na hospitali. Simba international school and Simba Medical centre.
Ni simba hii inayozihenyesha timu hapa bongo ikiwemo yanga.Ndo simba hii onayofungwa mpaka magoli 5 au.?
Mkuu, mida fulani lazima kuwavimbia hawa yanga hata ktk fantasy.Mie mshabiki wa simba lakini sishabikii upuuzi. Huo utajiri wa simba upon kwenye nini?. Simba INA kitega uchumi kipi zaidi ya lile jengo LA kariakoo ambalo thamani yake haizidi mil 500?. Tuache ushabiki maandazi. Angalau Singida United wanamilili Mashamba ya Alizeti. Kwa umri wa simba, ilipaswa imiliki mabasi ya mwendokasi, boti za kwenda zenji wanda vya vifaa vya michezo, Msimbazi centre, mabasi ya mikoani mfano Simba luxury coach, chuo kikuu cha michezo( Simba University of Sports and Games),_Shule na hospitali. Simba international school and Simba Medical centre.
Kweli Ismai Aden Lage alivyo waita watu wa Simba Mbumbumbu Hakukosea.Klabu ya Simba SC ya jijini Dar es salaam imetajwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF), kuwa klabu namba 5 kwa utajiri Barani Afrika.
Simba SC imetajwa kuwa na utajiri wa karibu Paund milioni 10.35 ambayo ni sawa na Bilioni 32.3 kwa shilingi ya Tanzania.
Katika orodha hiyo Al Ahly kutoka Misri inaongoza ikiwa na utajiri wa Paund milioni 19.25 ikifuatiwa naEsperance Sportive de Tunis 12.75M na Club Africain 11. 8M zote kutoka Tunisia.
Ya nne Kaizer Chiefs ya kutoka nchini Afrika Kusini ambayo yenyewe inatajiri karibu Paund milioni 10.48.
Klabu tajiri zaidi Barani Afrika
Chanzo: MwanaspotiApp
Saaana,hata mechi zake za TPL zinapostiwa web ya CAF. Tuwaombee waingie roboNadhani,ila kufuzu michuano hii kwa hatua ya makundi kumeipa chati kubwa
Nahc akikuwepo.vip kuhusu kipengele cha wauza ngada na ombaomba nacho pia akikuwepo?Hawajataja ya kuwa mashabiki wengi wa simba ni mambumbumbu au kipengele cha umbumbumbu hakikuwepo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini unabisha?Mie mshabiki wa simba lakini sishabikii upuuzi. Huo utajiri wa simba upon kwenye nini?. Simba INA kitega uchumi kipi zaidi ya lile jengo LA kariakoo ambalo thamani yake haizidi mil 500?. Tuache ushabiki maandazi. Angalau Singida United wanamilili Mashamba ya Alizeti. Kwa umri wa simba, ilipaswa imiliki mabasi ya mwendokasi, boti za kwenda zenji wanda vya vifaa vya michezo, Msimbazi centre, mabasi ya mikoani mfano Simba luxury coach, chuo kikuu cha michezo( Simba University of Sports and Games),_Shule na hospitali. Simba international school and Simba Medical centre.
Wewe umeviona?Kwanini unabisha?
Umeviona vitabu vya mahesabu vya Simba?
hahahahItakuwa wamechanganya na utajiri wa MO dewji
Mimi sijaviona,Walioviona wamesema hivyo na wewe ukibisha tafuta uvione.Wewe umeviona?
Hehehe.
Wale pale kaunda wako wapi kwenye List za Caf
Simba kaza muda si mrefu tutakuwa tunaipumulia kisogoni Los blancos -Madrid
Sent using Jamii Forums mobile app