CAF yamfungia mechi 8 Kocha wa Taifa Stars, huku TFF ikimsimamisha. Aliishutumu Morocco kwa kupanga mechi

CAF yamfungia mechi 8 Kocha wa Taifa Stars, huku TFF ikimsimamisha. Aliishutumu Morocco kwa kupanga mechi

Miaka kibao timu hii ilikuwa na wachezaji wanaocheza hapahapa nyumbani,TULIFIKA WAPI?
hoja yako haina mashiko
Sasa hivi mmefika wapi! Leo mnakula 5 na hao wachezaji wenu wa ndondo cup.
 
huyumbsaa hakutakiwa hagakupandandege kwa walee wachezaji
 
Back
Top Bottom