SawaShirikisho la soka barani Afrika CAF limemteua Kiungo wa Simba SC Clatous Chama kuwa miongoni wa wachezaji wanne ambao wapo kwenye kinyang'anyiro cha kuwa mchezaji bora wa wiki kwenye michuano ya Kimataifa ya Klabu Bingwa Afrika.View attachment 2549561
Mwamba wa Lusaka...Shirikisho la soka barani Afrika CAF limemteua Kiungo wa Simba SC Clatous Chama kuwa miongoni wa wachezaji wanne ambao wapo kwenye kinyang'anyiro cha kuwania kuwa mchezaji bora wa wiki kwenye michuano ya Kimataifa ya Klabu Bingwa Afrika.View attachment 2549561
Oya mzee... huwajui kwa kununa hao???...😂😂😂😂Kwahivyo hata hili nalo linawapeleka kuwa na Nongwa waseme kuwa CAF wanawapendelea Simba?
Acha wivu. Nasikia wenyeviti wote wa matawi mmeambiwa mkaroge ili mshinde Jpili 😅😂😅Mwaka huu mna makombe mengi sana hongera kwa mwenyekiti Mangungu
Imagine mna kombe la Manzoki, kombe la Chama , kombe la Inonga kuitwa timu ya Taifa, kombe la kuingia top ten what a great yearAcha wivu. Nasikia wenyeviti wote wa matawi mmeambiwa mkaroge ili mshinde Jpili [emoji28][emoji23][emoji28]
Yule mwingine kapewa medali na katoto ka kihispaniolaMwaka huu mna makombe mengi sana hongera kwa mwenyekiti Mangungu
Kama nyie mlivyo na kombe la Musonda kutoka kwa mtoto wa miaka 8Imagine mna kombe la Manzoki, kombe la Chama , kombe la Inonga kuitwa timu ya Taifa, kombe la kuingia top ten what a great year
Shangaa na weweYule mwingine kapewa medali na katoto ka kihispaniola
Kwani Playstation ileChama alikuwa afunge goli ambalo labda lingekuja kushinda kama goli bora la CAF kwenye ile move aliyompiga chenga kipa na beki akawa pembeni ya lango. Angeongeza udambwi dambwi pale akampiga kipa kanzu ili kurudi ndani halafu akafunga, tungefunga mahesabu ya goli la msimu.