Qatif
JF-Expert Member
- Dec 16, 2014
- 379
- 860
Shirikisho la soka barani Afrika CAF limemteua Kiungo wa Simba SC Clatous Chama kuwa miongoni wa wachezaji wanne ambao wapo kwenye kinyang'anyiro cha kuwania kuwa mchezaji bora wa wiki kwa round ya 4 kwenye michuano ya Kimataifa ya Klabu Bingwa Afrika
1. Ahmed zizo/ Zamalek
2. Clatous Chama/ Simba SC
3. Peter Shalulile/ Mamelody
4. Walid Sabbar / Raja Casablanca
1. Ahmed zizo/ Zamalek
2. Clatous Chama/ Simba SC
3. Peter Shalulile/ Mamelody
4. Walid Sabbar / Raja Casablanca