CAF yaruhusu mashabiki 60,000 Uwanja wa Mkapa, mechi ya Simba dhidi ya Orlando Pirates

CAF yaruhusu mashabiki 60,000 Uwanja wa Mkapa, mechi ya Simba dhidi ya Orlando Pirates

Ghazwat

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2015
Posts
23,718
Reaction score
66,267
Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF), limeruhusu mashabiki 60,000 kuingia kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa kushuhudia mtanange, hatua ya Robo Fainali kati ya Simba SC kutoka mitaa ya Msimbazi Jiji Dar es salaam, dhidi ya Orlando Pirates kutoka Afrika Kusini.

Mchezo huo unatarajiwa kupigwa Jumapili ya April 17, 2022 majira ya saa 1:00 Usiku, utakuwa mchezo wa kwanza Nchini Tanzania kuchezwa kwa kutumika Teknolojia ya Video Assistant Referee-VAR.

Kulipewa Mwana Kulitaka Mwana
 
Neema inazidi kuishukia klabu ya Simba Sc kwani mbali na VAR kutumika katika mchezo wao dhidi ya maharamia wa Afrika kusini (Orlando Pirates) pia ombili lao la kuingiza mashabiki 60000 katika mchezo huo limekubaliwa na shirikisho la soka Afrika

Ikumbukwe mchezo utachezwa Dar Es Salaam tarehe 17 mwezi wa nne saa moja kamili usiku

Najua wanasimba mtanunua ticket zote

NB; Maharamia ni jina la utani la Pirates kama Simba tunavojiita wanalunyasi
 
Hata waruhusu laki MWENDO MMEUMALIZA
Kaka si zamu yako kunywesha ng'ombe maji? Unafanya nini huku mitandaoni wakati ng'ombe ana kiu?
IMG_20220405_180050.jpg


Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Jpili saa kumi na moja kamili nitakuwa geto baada ya kumalizaa shughuli zangu .
Ntampigaa k vant yangu ndogo na Jani zangu mbili ,then ntajisogezaa uwanjani kushangiliaa nikiwa ndan ya Harrie yangu yenye mzk mnono nikickickiliza EP ya mond ,baada ya gem tushinde ,tufungwe au tutoe suluhu ,nampitia manzi yangu mitaa ya mabibo twaendaa geto baada ya gem ,nikifkaa geto nawaka mjani mmoja ,naendaa oga baada yakupiga shangwe sana uwanjani na harufu ya mjan isimkere bibiyee naswaki kbs ,then baada ya kuogaa naendaa kujiliaa tundaa kilainiii ,ckomaagii sanaa bao mbili au moja la k vant na Jani uwa linatosha,jtatu kukichaaa tunakimbizanaa km Kawa kusaka salary na zinapatikanaaa sana tu ukiwa mjanjaaa popoteee .....


NIMEZALIWA KWENYE SHIDA HAPA NILIPO NIMETUMIKIASHWA SANA ACHA MAMA NA MIMI TULE MAISHAA.
 
Tukiumaliza hapo itakuwa ni sawa kusoma mpaka Secondary dhidi ya Orlando

Ni aibu kuumaliza mwendo wa darasa la saba dhidi ya Rivers kutoka Nigeria.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji120]
 
Back
Top Bottom