CAF yaruhusu mashabiki 60,000 Uwanja wa Mkapa, mechi ya Simba dhidi ya Orlando Pirates

CAF yaruhusu mashabiki 60,000 Uwanja wa Mkapa, mechi ya Simba dhidi ya Orlando Pirates

Simba watafungwa Simba huwa ni timu mbovu sana......
wakitaka kujirekebisha walau walete upinzani kidogo warudi kusahihisha makosa waliyofanya kwenye mechi ya Berkane na Asec
Tutajue wale ambao si wabovu wamefika hatua gani...! Na Simba SC amefika hatua gani ili tujadili kuanzia hapo.
 
Ila mitopolo ina roho ngumu sijapata kuona ,juz tu imetoka kutuwangia kwa gendamarie saiz yamehamia orando ,yatatoka huko yataanza na mwingine yaan hayana aibu Kama Malaya anayejiuza
 
Rais wa CAF sio wa Orlando pirates, Motsepe ni wa Masandawana.

Nadhani jamaa anamaanisha Rais wa CAF ni mSouth África, na Orlando inatoka SA

Hvyo pengine hata hili la uwepo wa VAR inawezekana likawa na shinikizo la chini kwa chini kutoka kwa Motsepe ili kuhakikisha kunakuwa na favour kwa ndugu zake
 
Nadhani jamaa anamaanisha Rais wa CAF ni mSouth África, na Orlando inatoka SA

Hvyo pengine hata hili la uwepo wa VAR inawezekana likawa na shinikizo la chini kwa chini kutoka kwa Motsepe ili kuhakikisha kunakuwa na favour kwa ndugu zake
Nashindwa kuelewa hili swala la VAR sijui mnadhani ni kwa simba Sc pekee? Naona mnatafuta sababu ionekane kamba zimekuja hizi VAR kwaajili ya kuwakomoa Simba Sc na kuwa neemesha watu fulani.

CAF ilisha weka mpango wa kutumia hizi VAR kwenye mashindano mbalimbali ya AFRICA na hata fainali za CAFCL msimu uliopita waliitumia, AFCON wametumia.

Hili swala la VAR ni kwa mashindano yote ya CAFCC na CAFCL, namaanisha team zote zilizoingia robo fainali mpaka fainali zitatumia VAR na sio kwamba zimeletwa kawaajili ya Simba Sc pekee.

NB; Muwe mnafatilia habari.
 
Nashindwa kuelewa hili swala la VAR sijui mnadhani ni kwa simba Sc pekee? Naona mnatafuta sababu ionekane kamba zimekuja hizi VAR kwaajili ya kuwakomoa Simba Sc na kuwa neemesha watu fulani.

CAF ilisha weka mpango wa kutumia hizi VAR kwenye mashindano mbalimbali ya AFRICA na hata fainali za CAFCL msimu uliopita waliitumia, AFCON wametumia.

Hili swala la VAR ni kwa mashindano yote ya CAFCC na CAFCL, namaanisha team zote zilizoingia robo fainali mpaka fainali zitatumia VAR na sio kwamba zimeletwa kawaajili ya Simba Sc pekee.

NB; Muwe mnafatilia habari.
Safii, umejibu vyema
 
Shabiki wa uto kaulizwa nn maana ya VAR?: hayo majibu sasa..
VAR ni kifaa kitakachowapa simba ushindi ni bola orando wagome kisije[emoji23][emoji23]
 
Tukiumaliza hapo itakuwa ni sawa kusoma mpaka Secondary dhidi ya Orlando

Ni aibu kuumaliza mwendo wa darasa la nne dhidi ya Rivers kutoka Nigeria.
mkuu, hawakufika la nne hao waliishia darasa la kwanza la mchana.
 
Mimi Ni shabiki wa simba, hatupaswi kuwachukulia poa Orlando pirates Kwan ki ubora wapo juu, timu ijiandae haswaa, na pia tujipange vizuri ili nyumbani tushinde goli nyingi, Kwan Sauz shughuli itakuwepo
 
Back
Top Bottom