Nigger360
JF-Expert Member
- Oct 28, 2021
- 436
- 1,065
Njaaaa kaliii mkuuuHuyu wa Mayele si alikuja na Six Pack, mbona anaonekana kama amedumaa kulikoni..!
SIMBA NGUVU MOJAA [emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njaaaa kaliii mkuuuHuyu wa Mayele si alikuja na Six Pack, mbona anaonekana kama amedumaa kulikoni..!
Kikubwa tumeshaiingiza na yanga sc mwakani kwenye mashindano ya CAf hivyo shukuru kwa kuingizwaHata waruhusu laki MWENDO MMEUMALIZA
Hawampi chakula cha kutosha, wapo bize na kutetema,huku ng'ombe anadumaa Kwa kukosa chakula na majiHuyu wa Mayele si alikuja na Six Pack, mbona anaonekana kama amedumaa kulikoni..!
Sijaingizwa kuwa na adabu nyamba.fuKikubwa tumeshaiingiza na yanga sc mwakani kwenye mashindano ya CAf hivyo shukuru kwa kuingizwa
🤣🤣🤣🤣🤣nyauuuKaka si zamu yako kunywesha ng'ombe maji? Unafanya nini huku mitandaoni wakati ng'ombe ana kiu?View attachment 2180554
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Orlando pirates wameogopa yale ya rs berkane hivo wameishinikiza caf na raisi wa caf si wakwao?Ndo wenye mpira wao CAF wameamua hivyo hakuna namna hapo.
Kiingilio iwe buku mbili ili uwanja ujaeShirikisho la Soka Barani Afrika (CAF), limeruhusu mashabiki 60,000 kuingia kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa katika mchezo wa Hatua ya Robo fainali kati ya Simba SC dhidi ya Orlando Pirates kutoka Afrika Kusini.
Mchezo huo utakaopigwa Jumapili ya April 17, 2022 majira ya saa 1:00 Usiku, utakuwa mchezo wa kwanza Nchini Tanzania kuchezwa kwa kutumika Teknolojia ya VAR.
Kulipewa Mwana Kulitaka Mwana
Mkuu vipi, mbona mnateseka sanaHata waruhusu laki MWENDO MMEUMALIZA
Tunateseka na nani?Kiingereza huwezi na kiswahili pia?Mkuu vipi, mbona mnateseka sana
Rais wa CAF sio wa Orlando pirates, Motsepe ni wa Masandawana.Orlando pirates wameogopa yale ya rs berkane hivo wameishinikiza caf na raisi wa caf si wakwao?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]FT Simba 4 - 0 Pirates