CAF yaruhusu mashabiki 60,000 Uwanja wa Mkapa, mechi ya Simba dhidi ya Orlando Pirates

Duh VAR ina faida na hasara zake!
 
Kiingilio iwe buku mbili ili uwanja ujae
 
Simba watafungwa Simba huwa ni timu mbovu sana......
wakitaka kujirekebisha walau walete upinzani kidogo warudi kusahihisha makosa waliyofanya kwenye mechi ya Berkane na Asec
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…