Kibao
R I P
- Nov 8, 2007
- 631
- 401
Kwenye ranking ya FIFA ya mwezi huu jan 2017 uki google utaona Uganda ni ya 73, Cape Verde 79, Tanzania 156. Lesotho sikuangalia. Ina maana uganda na cape verde wanatuzidi sana kimpira.
Hata ukiangalia Tanzania imecheza mara ngapi katika fainali za CAF ukilinganisha na Uganda na Cape Verde utaona kuna ukweli wa ranking za FIFA.
Kwahiyo wandugu tuwe makini unapoandika kuhusu hawa washindani wetu. Msiwadharau sana.
Kwanza Uganda na Cape verde wameishawahi kutufunga na wakatutoa kwenye mashindano ya kimataifa.
Hata ukiangalia Tanzania imecheza mara ngapi katika fainali za CAF ukilinganisha na Uganda na Cape Verde utaona kuna ukweli wa ranking za FIFA.
Kwahiyo wandugu tuwe makini unapoandika kuhusu hawa washindani wetu. Msiwadharau sana.
Kwanza Uganda na Cape verde wameishawahi kutufunga na wakatutoa kwenye mashindano ya kimataifa.