Fuatilia kwa undani, ko simba ndo mlikua mnaiwaza?? Kwa taarifa had Zamalek anaanzia preliminary stage, sasa utashangaa simba?? Khaaaah.Sasa huyu cocastic anabisha nini tena?
Basi inatosha mkuu ishia hapo [emoji23]
Ndio ukweli wenyeweUnazungumzia hii? Naona Azam yuko exempted.
Updated: TotalEnergies CAF Interclub Preliminaries Draw on Tuesday 09 August 2022 | CAFOnline.com
The draw for the 2022-2023 TotalEnergies CAF Interclub competitions Preliminary Rounds will be conducted on Tuesday, 09 August 2022 in Cairo, Egypt at 16h00 local time. This draw will mark the beginning of a journey to the 2022/23 season of both TotalEnergies CAF Champions League and...www.cafonline.com
Mimi nimeleta taarifa mapema tu watu wa soka wajue .Fuatilia kwa undani, ko simba ndo mlikua mnaiwaza?? Kwa taarifa had Zamalek anaanzia preliminary stage, sasa utashangaa simba?? Khaaaah.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mnachekesha kweli.
Timu zimeongezekaNa mimi nimeona nikaanza kujiuliza hawa jamaa walikuwa wanajisifu sana kwamba awaanzii chekechea sasa sijui imekuwaje, azam kwenye shirikisho anaanzia hatua inayofuata na sio ya awali
Niliye mquote nime refer na maelezo yake, ndo nkampa huo uthibitisho, naamini yeye ndo atakuja kuleta ufafanuzi zaidi.Hatuna cha kukusaidia nenda kawashtaki CAF basi [emoji23][emoji23]
Si mlisema nyie level yenu sio ya hapa imekuaje tena [emoji3525][emoji3525]Inawezekana pia Simba kuanza raundi ya awali, na hii itatokea kama nchi na timu washiriki msimu huu zimeongezeka
Tuanzie hapa mimi na wewe nani anakurupuka?Huwa unakurupuka vibaya mnoo, lol
Issue sio top ten mbona zamalek yupo top ten na anaanzia preminaly stage,ni kwamba timu zimeongezeka mwaka huu so zimechaguliwa timu 6 tu zianzie hatua ya kwanzaSimba ktk rank ya Vilabu bora CAF yupo nafasi ya 14, wanaopewa favour kuanzia round ya kwanza ni zile zilizopo top 10,,, hvyo Simba kaikosa favour hiyo
Ila kama mwaka jana Simba angefuzu kwa kumtoa Jwaneng Galaxy basi angevuna points nyingi na zingemfanya awe ktk top 10 ya CAF club ranking, hvyo msimu huu angeanzia round ya kwanza sio preliminary
Kwa upande wa Azam favour hiyo imemuangukia kwasababu kuna baadhi ya Vilabu vitashindwa kushiriki Cafcc hatua ya awali kutokana na changamoto mbalimbali either za kifedha au sababu nyngnezo ndio maana ukiangalia jedwali la timu zitakazoshiriki CAFcl nchi zote zimeweka timu zao ila ktk jedwali la timu za Cafcc kuna baadhi ya nchi hazina timu
Cha muhimu tembo amejulikana na paka wamejulikana pia ..Niliye mquote nime refer na maelezo yake, ndo nkampa huo uthibitisho, naamini yeye ndo atakuja kuleta ufafanuzi zaidi.
Asiseme kigezo cha points na kuwa ktk top 10, labda aseme wingi wa vilabu shiriki. Ndo ita make senses.
Kumbe mlilijua hilo lakini bangi za ukubwani zilikuwa zinawatoa ufahamu kudanganya wasiojielewa
Na kama zamalek yupo top ten anaanzia huko ilikuwaje hawa jamaa wa kariakoo mkadai mtaanza moja moja bila kucheza hatua ya kwsnza?Issue sio top ten mbona zamalek yupo top ten na anaanzia preminaly stage,ni kwamba timu zimeongezeka mwaka huu so zimechaguliwa timu 6 tu zianzie hatua ya kwanza
Umedata wee, tena nikupe taarifa ni team 6 tyuuh ndo zitaanza 1st round, yaan nilivyoona jinsi table ilivyo, walaa sijashangaa na sijahisi kupungukiwa chochote.Mimi nimeleta taarifa mapema tu watu wa soka wajue .
Hayo ya hadi zamalek sijui nini ni nje ya mada.
Sababu simba na yanga ni za hapa Tanzania kwahiyo tusiseme?
Umedata nini [emoji23][emoji23]
Umeshasema kuna uwezekano inaweza kuwa au isiweHili swala ni mpaka ligi za nchi nyingne ziishe ndipo wale wanaoshika nafasi ya 11,12,13 na 14 ndipo wanajua kama wataanzia hatua ya awali au ya kwanza
Kwasbb ktk top10 ya CAF club rank kuna Vilabu kama Pyramids, Rs Berkane, Kaizer chiefs wao hawana nafasi ya ushiriki ktk CAf klabu bingwa hvyo zile favour zao za kuanzia hatua ya kwanza zimechukuliwa na aliyeshika nafasi ya 11,12 na 13
Na kama Esperance asingekuwa bingwa nchini kwao basi angeenda kushiriki shirikisho na hvyo ile favour ya kuanzia round ya kwanza ingeenda kwa anayeshika nafasi ya 14 ktk CAF club rank ambae ni Simba
Lakn pamoja na hayo bado Simba kwa rank yake atapangiwa timu dhaifu dhaifu inayoshika nafasi za mbali huko,
ilhali Yanga kwakuwa anashika nafasi ya 74 basi ana uwezekano akapangiwa timu zinazoshika nafasi ya juu juu ktk CAF rank
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] km wee mjanja, huu uzi uliweka mda gan? Na uthibitisho umeleta mda gan?? Watu kule juu walikuomba uthibitisho mbna hukutoa????Tuanzie hapa mimi na wewe nani anakurupuka?
Ila wewe mtu kilaza sana hapa ulibisha kwa watu wafuatiliaji kama sisi.
Wewe mpaka utumiwe kwenye magroup ya wasap ya umbeya..ndio umejua sasa?[emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu mtu kilaza sana aseeh
Sio swala la kunipa taarifa ambayo naijua.Umedata wee, tena nikupe taarifa ni team 6 tyuuh ndo zitaanza 1st round, yaan nilivyoona jinsi table ilivyo, walaa sijashangaa na sijahisi kupungukiwa chochote.
Yaan had Primere de agosto anaanza preliminary stage, mbna ni kwere tyuuh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
TP mazembe na Zamalek nani team kweli kweli??Na kama zamalek yupo top ten anaanzia huko ilikuwaje hawa jamaa wa kariakoo mkadai mtaanza moja moja bila kucheza hatua ya kwsnza?
Ndio ujue hizo sita ni team kweli kweli.
Uthibitisho wa nini ikiwa taarifa imetolewa na official site ..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] km wee mjanja, huu uzi uliweka mda gan? Na uthibitisho umeleta mda gan?? Watu kule juu walikuomba uthibitisho mbna hukutoa????
Unachekesha mnooo.
Hawawezi kuzifikia zile 6 prove me wrong!.TP mazembe na Zamalek nani team kweli kweli??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sorry Mr unachanganya sana ktk maelezo yako. Sasa hii table Imetolewaje pasipo kuwa na ratiba kamili?? Kwa sababu hapa kila kitu kiko wazi, kwa mantiki hiyo, hii table inaweza kubadilika muda wowote??Hili swala ni mpaka ligi za nchi nyingne ziishe ndipo wale wanaoshika nafasi ya 11,12,13 na 14 ndipo wanajua kama wataanzia hatua ya awali au ya kwanza
Kwasbb ktk top10 ya CAF club rank kuna Vilabu kama Pyramids, Rs Berkane, Raja Casablanca wao hawana nafasi ya ushiriki ktk CAf klabu bingwa hvyo zile favour zao za kuanzia hatua ya kwanza zimechukuliwa na aliyeshika nafasi ya 11,12 na 13
Na kama Esperance asingekuwa bingwa nchini kwao basi angeenda kushiriki shirikisho na hvyo ile favour ya kuanzia round ya kwanza ingeenda kwa anayeshika nafasi ya 14 ktk CAF club rank ambae ni Simba
Lakn pamoja na hayo bado Simba kwa rank yake atapangiwa timu dhaifu dhaifu inayoshika nafasi za mbali huko,
ilhali Yanga kwakuwa anashika nafasi ya 74 basi ana uwezekano akapangiwa timu zinazoshika nafasi ya juu juu ktk CAF rank