CAF yatoa ranking ya timu Afrika,Simba Baba lao Afrika Mashariki

Wewe ni mungo wa kutupwa unafikiri sisi wote tuna akili za ki mbumbumbu fc, uki google Caf club football database yao waliyo i uptodate 22 March 2020 Simba kutoka Tanzania ni club inayoshika nafasi ya 263.Sasa endelea kuwadanganya mbumbumbu fc wenzako. Hakuna uptodate ya 27march iliyotolewa na caf.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ungekuwa na adabu ningekusaidia kujua toka vyanzo reliable. ila kwa kuwa unaonekana mbumbumbu nikuulize tu,kwa hiyo na wewe na ujinga wako ukaamini kabisa kwa CAF Simba inashika nafasi ya 266?
 
ungekuwa na adabu ningekusaidia kujua toka vyanzo reliable. ila kwa kuwa unaonekana mbumbumbu nikuulize tu,kwa hiyo na wewe na ujinga wako ukaamini kabisa kwa CAF Simba inashika nafasi ya 266?
Huna la kunifundisha katika ilo, izo data kila mwaka zina badilika kulingana na ushiriki wa klabu husika, mimi sio mbumbumbu kama wewe, wadanganye mbumbumbu wenzako.izo caf club ranking zipo wazi sikuzote na vigezo husika vimeambatanishwa na wana zi uptodate marakwamara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simba SC = Mbeleko SC

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…