CAF yatoa ranking ya timu Afrika,Simba Baba lao Afrika Mashariki

Shadeeya nisaidie kuitafuta Migogoro fc na uniambie ni namba ngapi, si unajua tena macho yangu yameanza kusumbua uzee huu.
Tafadhali naomba msaada wako.
Mtani mbona mnatoa habari nusu nusu sasa nani ataamini hapo kwamba kweli hizo rank zimetolewa huo mwezi march?

Acheni kutubabaisha leteni link.
 
Hahahaaa. Ameshajua Mikia wenzie wanapenda kauli sukari.
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Inabidi tuanzishe Darasa la kuwaelewesha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…