Wakaze wapate Hela walipe madeni ya watuMshindi anavuta billion 10
Mshindi wa pili bill zaidi ya 5
Hii inatamanisha yanga wakaze huenda hela ya ujenzi wa uwanja ikapatikana huko caf
Hapana, makampuni ya kamari yamemwaga pesa za ufadhili Ili yanufaikeVizuri mno Motsepe naona anatumia maarifa yake ya utajiri kuokoa mpira wa afrika
Dada kama dadaπππππ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kweli nyie ni UBOYA UBWEGE hata wewe akili zimepungua kiasi hiki.Yanga hafiki makundi
Hakuna kinachokera kwenye hizi timu zetu wawekezaji kujifanya wanapata hasaraMapato na matumizi utasomewa faida milion 350.
Ee nipo sambamba na mada...watu wanafurahia mabilioni ambayo wanufaika ni wachache...Dada kama dada