Mangisandy
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 2,652
- 2,273
Watoto?Ndugai mwizi,mkewe mwizi....hatariiii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watoto?Ndugai mwizi,mkewe mwizi....hatariiii.
Kuna kosa gani? Kwani si raia wa Tanzania?Why Mke WA spika apewe ukurugenzi?
Why Mke WA spika apewe ukurugenzi?
Tulisahau huyu mtu hatari si bora angekufa hana umuhimu hata kidogoMkuu Ndu gai alitumia Bilioni 12 kwa matibabu.
Ndio maana povu linamtoka!
That is corruption/nepotism ili Jobu aunge mkono hoja kandamizi za serikali. InaitwaWhy Mke WA spika apewe ukurugenzi?
Wamepigwa marufuku.hata wewe na mimi tusingethubutu.ilikuwa keko inatusubiri.Mbowe ni mnafiki na wakala wa wazungu anatafuta huruma ya mama Samia ili dili lake alilokula 10% kwa kuleta chanjo Tanzania.
Kwa nini hakuyasema kipindi Magufuli yupo?
Kati ya mwaka 2007 na 2010, mke wa Ndugai ambaye ni Daktari kitaaluma alikuwa DMO - KONGWA. Hapo Kongwa Ndugai anamikiliki Petrol Station by then.CAG hana huruma na mzaha kabisa.
Nimeona ametoa hati ya mashaka Wilaya ya Bahi. Mkurugenzi wa Wilaya ni mke wa Ndugai.
CAG ameweka wazi ufisadi wa sh.364,107,100 mapato ya ushuru yaliyotafunwa bila kupelekwa benki.
Someni vizuri ripoti,kuna madudu sana
Yeyote atakaye msaliti JPM anajidanganya mwenyewe.CAG hana huruma na mzaha kabisa.
Nimeona ametoa hati ya mashaka Wilaya ya Bahi. Mkurugenzi wa Wilaya ni mke wa Ndugai.
CAG ameweka wazi ufisadi wa sh.364,107,100 mapato ya ushuru yaliyotafunwa bila kupelekwa benki.
Someni vizuri ripoti,kuna madudu sana
naona umeropoka bila kuwa na uhakika? kuna chanjo imeletwa nchini?Mbowe ni mnafiki na wakala wa wazungu anatafuta huruma ya mama Samia ili dili lake alilokula 10% kwa kuleta chanjo Tanzania.
Kwa nini hakuyasema kipindi Magufuli yupo?
Hatari sana.amekuwa mtetezi wa wizi