KUTATABHETAKULE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 5,159
- 5,070
O M G !CAG hana huruma na mzaha kabisa.
Nimeona ametoa hati ya mashaka Wilaya ya Bahi. Mkurugenzi wa Wilaya ni mke wa Ndugai.
CAG ameweka wazi ufisadi wa sh.364,107,100 mapato ya ushuru yaliyotafunwa bila kupelekwa benki.
Someni vizuri ripoti, kuna madudu sana
Kwa mabavu ya yule dhalimHivi mtu kama huyu anapataje uspika?
Hatari sana.Why Mke WA spika apewe ukurugenzi?
Nasikia Ndugai amesema 1mil ikikosa risiti kati ya 500mil siyo tatizo sana kisheria na wala siyo wizi. Amesistiza tu kuwa ni haki yake CAG kuhoji, lakini wananchi hawatakiwi kuona ni wizi.
Hii ni HOJA wala sio WI ZI,Wengi katika Waandishi wa habari ,Wananchi,Wabunge hawajui maana ya Hoja,Na kutofautisha MAONI na USHAURI unaotolewa na Mkaguzi.CAG hana huruma na mzaha kabisa.
Nimeona ametoa hati ya mashaka Wilaya ya Bahi. Mkurugenzi wa Wilaya ni mke wa Ndugai.
CAG ameweka wazi ufisadi wa sh.364,107,100 mapato ya ushuru yaliyotafunwa bila kupelekwa benki.
Someni vizuri ripoti, kuna madudu sana
huyu ameandika nini?Hii ni HOJA wala sio WI ZI,Wengi katika Waandishi wa habari ,Wananchi,Wabunge hawajui maana ya Hoja,Na kutofautisha MAONI na USHAURI unaotolewa na Mkaguzi.
WENGI HAWAJUI:Kama pangekuwa na wizi watu wangepelekwa POLISI na KUFUNGWA.
Hapo kwenye HALMASHAURI ni SIASA na Kiki Tu kwa wana SIASA.Kama pangekuwa na wizi wengi wangefungwa,Bahati mbaya wengi hawajui kuwa mambo ya Halmashauri ni SIASA tu!
Wananchi wengi hawajashtuka kuwa wizi upo kwenye WIZARA ,WENGI WANADANGANYWA kuwa kuna wizi HALMASHAURI,Lakini hoja zote za Halmashauri ni HOJA MOJA YA WIZARA!!!!
JAMBO HILI HAKUNA MBUNGE ANAEZA KULIZUNGUMZA!!!!
1.ALIYE LALA USIMUAMSHE
2.USIMFIMBUE KIPOFU
3.ALIYELALA USIMUAMSHE
Hii taarifa ya CAG,sehemu yenye wizi,huwa mashtka yanafunguliwa wala haisubiri taarifa ya CAG!!!!
Ndugai anahusikaje na Bahi?CAG hana huruma na mzaha kabisa.
Nimeona ametoa hati ya mashaka Wilaya ya Bahi. Mkurugenzi wa Wilaya ni mke wa Ndugai.
CAG ameweka wazi ufisadi wa sh.364,107,100 mapato ya ushuru yaliyotafunwa bila kupelekwa benki.
Someni vizuri ripoti, kuna madudu sana
wapi nimesema ana husikaNdugai anahusikaje na Bahi?
Kabisa, maa BAHI ni kama HAI vilee..!!!Atasema ni Mbowe amesababisha.
Si umeambiwa mkewe ndiye mkurugenzi wa BAHI?Ndugai anahusikaje na Bahi?
Tumemshtukia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndiyo maana Ndugai anataka taarifa za kamati ziijadili report ya CAG ili kupitia huko amsafishe mkewe maana ndiyo mkurugenzi huko
Ana obsession mbaya Sana kwa mboweAtasema ni Mbowe amesababisha.
Labda na mama anaumwa nae anatibiwa na hela za ushuru. Kisukari cha kikubwa.Mkuu Ndugai alitumia Bilioni 12 kwa matibabu.
Utaacha Mzee Halima achanganyikiwe atamtunzaje mkewe?Achukuliwe hatua kama mwizi mwingine yoyote na asiachwe hata kama mr ni mtu anaejua kujipendekeza!
Tuone pia ukaguzi wa CAG kuhusu bunge kuwalipa wale COVID 19 fedha wasizostahili.
HahahahCAG hana huruma na mzaha kabisa.
Nimeona ametoa hati ya mashaka Wilaya ya Bahi. Mkurugenzi wa Wilaya ni mke wa Ndugai.
CAG ameweka wazi ufisadi wa sh.364,107,100 mapato ya ushuru yaliyotafunwa bila kupelekwa benki.
Someni vizuri ripoti, kuna madudu sana