CAG akague hesabu za zoezi zima la Sensa…

CAG akague hesabu za zoezi zima la Sensa…

Design ya zoezi zima imeshakosewa.
1. Maswali ni mengi mno kiasi kwamba makarani huchukua muda mrefu kwenye kaya moja.
2. Watu hutoa taarifa za uongo kwa sababu wanahusisha zoezi na tozo Nimesikua mara kadhaa watu wakisema kuwa taarifa zinazokusanywa zitatumika kuanzisha tozo au kupandiaha tozo.
3. Hakukua na sababu ya kuchukua majina ya watu na namba za nida. Hii inaongeza ugumu wa zoezi lakini pia inafanya watu wengi wasitoe taarifa sahihi.

4. Mtiriko wa dodoso ni mbovu. Dodoso lina maswali mengi yanarudia kiana. LmUtadhani limeandaliwa na mtoto wa shule ya msingi

5. Makarani wanapita nyumba ziko empty, watu wako nakazini na hakuna taarifa
 
Mkuu mbna huku songea kata nyingi watu tumemaliza kaz asubuh tu, mimi ni karani ambaye kazi nimemaliza jana saa 4 asubuh tu, na hamna matukio kama hayo huku, kaz yoyote haikosi dosar mkuu, hayo ndio mambo ya error katika kazi, usicomplicate sana maisha, hamna mtu aliyekuwa perfect kwa 100% tuvumiliane kazi itaisha. HAPA KAZI TU na KAZI IENDELE

Mkuu mbna huku songea kata nyingi watu tumemaliza kaz asubuh tu, mimi ni karani ambaye kazi nimemaliza jana saa 4 asubuh tu, na hamna matukio kama hayo huku, kaz yoyote haikosi dosar mkuu, hayo ndio mambo ya error katika kazi, usicomplicate sana maisha, hamna mtu aliyekuwa perfect kwa 100% tuvumiliane kazi itaisha. HAPA KAZI TU na KAZI IENDELEE
Hongera lkn huenda ulikuwa na kaya chache sana....asilimia kubwa ya Watanzania hawajahesabiwa. Sidhani hata kama tumefikia hata milioni tano, sina hakika. Ngoja nitembelee website ya takwimu nione. HALI NI MBAYA SANA. TUMSAIDIE RAIS.
 
Ifike mahali tuache mihemko. Maisha ya mitandaoni si halisi kwa asilimia 100.
Yaani mkiona picha za viongozi tayari mnahitimisha kuwa makarani walishinda hapo hawakwenda sehemu nyingine duh!!!

Watu wanahesabiwa, nimekutana na watu wa kawaida kabisa wameshahesabiwa.

Kwangu hawajafika lakini nina hakika ndani ya siku hizi 7 karani atafika.

Hata hivyo asemavyo mtoa mada kuhusu ueledi na maadili ya baadhi ya makarani ni wa kuangaliwa.

Nadhani mchujo ulikuwa na walakini.
 
Wanasalimu ndugu wanajamvi,

Kwanza inasikitisha sana kuona pesa za walipa kodi masikini zinateketea katika zoezi la sensa kama hili. Mwanzo tumefanya hamasa vizuri sana lakini kinachofanyika huku mtaani sasahivi ni sawa na bure.

Kwa maoni yangu nini kimepelekea zoezi la sensa kufeli namna hii,

1. Mchakato wa kuwapata makarani uligubikwa na kujuanajuana bila kuangalia weledi na utashi wa makarani.

2. Usimamizi kuanzia ngazi ya kitaifa mpaka chini ni mbovu sana. Watu wanampa taarifa za uongo Rais kwamba zoezi lipo vizuri. Wakuu wa Wilaya msimdanganye Rais mitandaoni. Hebu imagine kule Bunda karani amejifungua kbl ya zoezi kuanza, sasa huyu alichukuliwaje na wakati alikuwa mjsmzito???

3. Makarani hawana elimu ya kutosha juu ya hii njia mpya ya ukusanyaji wa takwimu za sensa.

4. Uhaba wa makarani nchini na baadhi ya makarani kutokuwa serious na kazi.

Mwisho kabisa, Mhe. Rais, agiza vyombo vya usalama vifanye uchunguzi wa kina juu ya matumizi ya fedha zote za sensa...Hakika kuna upigaji mkubwa sana Mama, Mimi roho inaniuma kuona Waziri wa fedha yupo kimya na wewe unadanganywa zoezi lipo shwari kumbe hakuna kitu huku mitaani hata makarani hakuna mama.

TAFADHALI TUMSAIDIE MAMA. NCHI INALIWA. ZOEZI HILI LA SENSA KAMA RAIS HATAINGILIA KATI BASI NCHI INAENDA PABAYA SANA.
Huyo aliyejifungua ni mbunifu kwani alihitaji msaidizi binafsi wa kubeba pawabenki ya kishikwambi.
 
Design ya zoezi zima imeshakosewa.
1. Maswali ni mengi mno kiasi kwamba makarani huchukua muda mrefu kwenye kaya moja.
2. Watu hutoa taarifa za uongo kwa sababu wanahusisha zoezi na tozo Nimesikua mara kadhaa watu wakisema kuwa taarifa zinazokusanywa zitatumika kuanzisha tozo au kupandiaha tozo.
3. Hakukua na sababu ya kuchukua majina ya watu na namba za nida. Hii inaongeza ugumu wa zoezi lakini pia inafanya watu wengi wasitoe taarifa sahihi.

4. Mtiriko wa dodoso ni mbovu. Dodoso lina maswali mengi yanarudia kiana. LmUtadhani limeandaliwa na mtoto wa shule ya msingi

5. Makarani wanapita nyumba ziko empty, watu wako nakazini na hakuna taarifa
Mkuu mfano maswali gani ambayo yamejirudia tuyaone ,? Kuhusu watu kuwa makazini ni kuwa kuanzia jana zimefika fomu ambazo tunaziacha majumbani kwa mtu yoyote tunayemkuta ili akifika muhusika ajaze na sis makarani tunapitia asubuh, tunaacha na namba za simu ili kma hajaelewa aweze kutupigia.
 
Hujui unalolibwabwaja! Ulikosa nafasi ya kuwa mhesabuji
Pumbavu kabisa. Ndiyo maana hii nchi hatusongi mbele kwasababu ya watu kama nyie ambao mnadhani watu hutoa mawazo mbadala badala ya kukosa kitu fulani.
 
Hongera lkn huenda ulikuwa na kaya chache sana....asilimia kubwa ya Watanzania hawajahesabiwa. Sidhani hata kama tumefikia hata milioni tano, sina hakika. Ngoja nitembelee website ya takwimu nione. HALI NI MBAYA SANA. TUMSAIDIE RAIS.
Sawa mkuu, mimi nitaenda kusaidia kaya nyingine ambazo hazijahesabiwa asubuh hii
 
1. Mchakato wa kuwapata makarani uligubikwa na kujuanajuana bila kuangalia weledi na utashi wa makarani.
Haoa kijijini kwetu koo za mwenyekiti na katibu wa ccm tawi, mwenyekiti wa Kijiji, mtendaji kata na diwani ndiyo zinetia makarani.
 
Wanasalimu ndugu wanajamvi,

Kwanza inasikitisha sana kuona pesa za walipa kodi masikini zinateketea katika zoezi la sensa kama hili. Mwanzo tumefanya hamasa vizuri sana lakini kinachofanyika huku mtaani sasahivi ni sawa na bure.

Kwa maoni yangu nini kimepelekea zoezi la sensa kufeli namna hii,

1. Mchakato wa kuwapata makarani uligubikwa na kujuanajuana bila kuangalia weledi na utashi wa makarani.

2. Usimamizi kuanzia ngazi ya kitaifa mpaka chini ni mbovu sana. Watu wanampa taarifa za uongo Rais kwamba zoezi lipo vizuri. Wakuu wa Wilaya msimdanganye Rais mitandaoni. Hebu imagine kule Bunda karani amejifungua kbl ya zoezi kuanza, sasa huyu alichukuliwaje na wakati alikuwa mjsmzito???

3. Makarani hawana elimu ya kutosha juu ya hii njia mpya ya ukusanyaji wa takwimu za sensa.

4. Uhaba wa makarani nchini na baadhi ya makarani kutokuwa serious na kazi.

Mwisho kabisa, Mhe. Rais, agiza vyombo vya usalama vifanye uchunguzi wa kina juu ya matumizi ya fedha zote za sensa...Hakika kuna upigaji mkubwa sana Mama, Mimi roho inaniuma kuona Waziri wa fedha yupo kimya na wewe unadanganywa zoezi lipo shwari kumbe hakuna kitu huku mitaani hata makarani hakuna mama.

TAFADHALI TUMSAIDIE MAMA. NCHI INALIWA. ZOEZI HILI LA SENSA KAMA RAIS HATAINGILIA KATI BASI NCHI INAENDA PABAYA SANA.
Wacha unoko wewe, katika zoezi zima umeliona hilo tu la karani kujifungua?
 
Pumbavu kabisa. Ndiyo maana hii nchi hatusongi mbele kwasababu ya watu kama nyie ambao mnadhani watu hutoa mawazo mbadala badala ya kukosa kitu fulani.
Hasira za nini? Soma tena mabwabwaja yako uone ulivyo mpuuzi
 
....kibaya zaidi yaani makarani wanne wanaenda kwa mtu mmoja, Mkuu wa Wilaya Jokate Mwengelo, hivi kweli tupo serious???, na DC anacheka tu na kupiga nao picha na wakati mamilioni ya wananchi hawajahesabiwa???.
Fanya kazi ujipatie fedha badala ya kuendekeza majungu
 
Mkuu mbna huku songea kata nyingi watu tumemaliza kaz asubuh tu, mimi ni karani ambaye kazi nimemaliza jana saa 4 asubuh tu, na hamna matukio kama hayo huku, kaz yoyote haikosi dosar mkuu, hayo ndio mambo ya error katika kazi, usicomplicate sana maisha, hamna mtu aliyekuwa perfect kwa 100% tuvumiliane kazi itaisha. HAPA KAZI TU na KAZI IENDELEE
Chawa on fleek
 
Wanasalimu ndugu wanajamvi,

Kwanza inasikitisha sana kuona pesa za walipa kodi masikini zinateketea katika zoezi la sensa kama hili. Mwanzo tumefanya hamasa vizuri sana lakini kinachofanyika huku mtaani sasahivi ni sawa na bure.

Kwa maoni yangu nini kimepelekea zoezi la sensa kufeli namna hii,

1. Mchakato wa kuwapata makarani uligubikwa na kujuanajuana bila kuangalia weledi na utashi wa makarani.

2. Usimamizi kuanzia ngazi ya kitaifa mpaka chini ni mbovu sana. Watu wanampa taarifa za uongo Rais kwamba zoezi lipo vizuri. Wakuu wa Wilaya msimdanganye Rais mitandaoni. Hebu imagine kule Bunda karani amejifungua kbl ya zoezi kuanza, sasa huyu alichukuliwaje na wakati alikuwa mjsmzito???

3. Makarani hawana elimu ya kutosha juu ya hii njia mpya ya ukusanyaji wa takwimu za sensa.

4. Uhaba wa makarani nchini na baadhi ya makarani kutokuwa serious na kazi.

Mwisho kabisa, Mhe. Rais, agiza vyombo vya usalama vifanye uchunguzi wa kina juu ya matumizi ya fedha zote za sensa...Hakika kuna upigaji mkubwa sana Mama, Mimi roho inaniuma kuona Waziri wa fedha yupo kimya na wewe unadanganywa zoezi lipo shwari kumbe hakuna kitu huku mitaani hata makarani hakuna mama.

TAFADHALI TUMSAIDIE MAMA. NCHI INALIWA. ZOEZI HILI LA SENSA KAMA RAIS HATAINGILIA KATI BASI NCHI INAENDA PABAYA SANA.
Mfano rahisi Mimi na familia yangu hatujahesabiwa Wala kumuona karani mtaani kwetu,tarehe 23 tulishinda nyumbani kwa minajili ya kuhesabiwa bila mafanikio, mm nashinda Job na mke wangu job tuttahesabiwa mda gani Tena? Labda wapite usiku. Nionavho zoei limekwama
 
Fanya kazi ujipatie fedha badala ya kuendekeza majungu
Watanzania wangelikuwa hawafanyi kazi tungelikuwa bado masikini wa kutupwa ila inauma kuona kuna watu waliopewa nafasi wanashindwa kuthamini jitihada zetu. Hapa hakuna majungu bro. Ni lazima tumsaidie Rais kwa namna yoyote ile.
 
Sasa hivi nasikia makarani wanaacha maswali kwenye kaya na baadae kuanza kukusanya zile questionnaires, hivi kwa mfumo huu hili zoezi tutafanikisha????. Watanzania ambao hawajui kusoma na kuandika tunawasaidiaje??? au ni funika kombe mwanaharamu apite???. Tuwe serious, chondechonde. Makarani acheni mzaha, lindeni viapo vyenu na kuweni waadilifu na wenye kujituma. Oneni uchungu wa fedha za watanzania wenzenu. Chapeni kazi. Kwa mfn. mimi nilipo, mtaani hapa tulipewa makarani wawili lakini hawapo na uongozi upo kimya tu...Juzi walisema kwamba, makarani wamekubaliana washirikiane mtaa mmoja baada ya mwingine hlf wakimaliza ndy watakuja na kwetu lkn baada ya kuchunguza, sasahv hata mtaa wa pili hawajamaliza.


Makarani wameanzisha kasumba ya kuongea na viongozi wa mtaa na kuomba UDHURU hlf zoezi haliendi. MHE. RAIS, SISI TUNAKUPENDA SANA. MWITE MTAKWIMU MKUU, AKUELEZE UKWELI JUU YA ZOEZI HILI NA BAADAE ONDOA HUYO, HATUFAI. PIA WAKUU WA WILAYA NA WASIMAMIZI WA SENSA NGAZI YA WILAYA WATAKAOSHINDWA KUSIMAMIA ZOEZI HILI KWA UMAKINI,,, TAFADHALI WAONDOE. WASITUKWAMISHE
 
Back
Top Bottom