CAG Assad alisema ni mtu mjinga pekee ndo anaweza kufanya manunuzi cash: Anajifunza nini Entebbe Airport?

Mpuuzi tu, kopa lipa polepole huku fedha taslimu unafanyia shughuli nyingine.

Hata Emirates,Qatar, wanakopa.

Magufuli alikuwa Kiazi.

elfu kumi ya 2021 sio sawa na 10,000 ya 2030 ndo maaana moja ya masharti ya kukopa ni riba kila mwaka unavopita kufidia inflation, hakuna shirika lolote ulilotaja apo limenunua kwa mkopo ndege zake zozote! hao wote ni ni special design orders
 
Unanunua madege cash halafu kujenga vyoo unachangisha

Kweli kupanga ni kuchagua
Sijui nani aliyasema haya

hela ya ndan ni mali ya serikali wana maamuzi nayo kwa lolote wanavotaka, wanaweza hata kuamua kuchapisha noti mpya mda wowote tafauti na international trade
 
hela ya ndan ni mali ya serikali wana maamuzi nayo kwa lolote wanavotaka, wanaweza hata kuamua kuchapisha noti mpya mda wowote tafauti na international trade

Kwa haya maneno nakubali kwa kuwa ni Africa
Hayo maamuzi ndio alikuwa anayafanya bila kujali mtu wala katiba

Na alisema pia anaweza kubadili hela

Tuna safari ndefu ila huenda tukafika
 
Mpuuzi tu, kopa lipa polepole huku fedha taslimu unafanyia shughuli nyingine.
Ni mtu kichaa kama mr #dishlimetilt ndio hawewezi kuelewa kuwa kila mkopo huwa una interest, na kulipa hiyo interest kunakufanya ulipe pesa nyingi zaidi kuliko mkopo wenyewe. Na uki-default kulipa mkopo wako unapoteza kitu ulichokopa na pesa uliyokwishalipa inaenda.
Jiwe alikuwa mashine nyingine kabisa, ni mapoyoyo kama wewe ndiyo hamuwezi kuona logic yake ya cash.
 
Ninachojiuliza mimi kwan kununua Cash kuna shida gani? Kama mkopo si ingekuwa hela mengi? Na mkopo unaweza kopa kiwandani kweli? Kama ndiyo kwa mda gan? Na si itakuwa mara 2 ya cash?

Sent using Jamii Forums mobile app
SASA SI FEDHULI ALIKUWA ANAKOPA HELA HALAFU HIZO HELA ZA MKOPO ANANUNUA NDEGE KWA CASH NA 10 PERCENT ANAKUNJA?!

YEHODAYA
 
Ukikopa alafu ukaacha kulipa huo ni ujinga wa mkopaji.ata mabank ya bongo kila siku tunaona yanashikilia mali za waliokopa na kuzipiga mnada.kwahiyo hapo utalaumu waliokopesha au akili zako ni kidogo?
 
Kwani Assad siyo mjinga wa kawaida hata kama ni profesa?
 
Profesa Assad ni habari nyingine,ninyi na vielimu vyenu vya kuugaunga mtapata tabu sana kumuelewa.
Acha kutisha watu. Kwani PhD yake siyo kama nyingine? Usipende kuhukumu watu kwa kutumia ujinga wako. Kama ni PhD mbona tunazo na hatujisifu wala kutisha watu kuwa tunazo? Assad ni binadamu kama wengine. Hawezi kujua yote.
 
Profesa Assad ni habari nyingine,ninyi na vielimu vyenu vya kuugaunga mtapata tabu sana kumuelewa.
Assad naye uprofesa wake ni wa kuungaunga tu. Nilisoma vipaper vyake vingi ni kwenye jarida la uhasibu la NBAA tu na viripoti hafifu hafifu vya consultancy tu; hana publication nzito kwenye majarida ya kimataifa.
 
Assad ni sawa na chadema tu ni mjinga mjinga sana.
 
Hivi unajua kuwa marehemu alikopa Exim Bank China ma Barclays Bank, tena mkopo wa kibiashara?

Usiwaone waganda ni wajinga zaidi yetu. Sisi mikopo tuliyouchukua Exim China na Barclays huenda ina masharti ya ovyo zaidi.
 
Huyu mleta mada sijui uelewa wake upo wapi.

Utawala wa marehemu ndio uliokopa kuliko awamu nyingine yoyote katika historia ya Taifa letu. Alikuwa kama wanachama wa vikoba. Anakopa Exim bank kwa masharti magumu, anaenda kununulia ndege, huku anatamba kuwa tumenunua kwa cash.
 
Hivi unajua kuwa marehemu alikopa Exim Bank China ma Barclays Bank, tena mkopo wa kibiashara?

Usiwaone waganda ni wajinga zaidi yetu. Sisi mkopo tuliouchukua Exim China na Barclays huenda una masharti ya ovyo zaidi.
I wanted to say this. Wote tunakopa na sisi tulimkopa exim mwanzoni wa 2017 nadhani.
 
Mkuu simple logics za leverage zinakutoa kamasi. As long as mkopo ni serviceable kwa maana ya interest rate kuwa ndogo kuliko return ni heri ukope kuliko kutumia pesa yako ndani.

Haifai kufanya mradi wa gharama kubwa kwa pesa yako mfukoni ni wastage.
 
Deni liliongezeka kutokana na riba ya mikopo ya nyuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…